Naumia, nami ni binadamu


Niliambiwa kuwa ndo mimi ati!

I was like WTF! How could it be me when I’ve never ever had anything of that nature with her?

Ila ndo hivyo, nikahakikishiwa kabisa.
 
Love u...
 
Sasa mkuu , kwanini usimtaje huyo aliyekwambia kwamba don na huyu binti walichati pm?.

Don amekana hajachat pm na huyu binti kwa maana hiyo huyo aliyekwambia amejuaje? Na anapata wapi access ya kusoma pm za watu? Nilisikiaga kuna watu wanasoma pm za watu nashawishika kuamini.
 


Meeyah
 



Amesema aggy aliwasiliana na don c kwenye pm...huenda don ndo alimwambia ngabu💃💃
 



Nakumbuka..bas mie sikua najua hayo ya bima..nilisimamia tu kiutu uzima..mtu hujawah muona iweje upanick vile uwii..hatari .labda kuna mengune hatujui
 
Amesema aggy aliwasiliana na don c kwenye pm...huenda don ndo alimwambia ngabu[emoji126][emoji126]
Mimi pia mwanzo nilihisi Don ndio kamwambia ngabu. Lakini ngabu amesema kuna mtu ( ambae si don) ndiyo kamwambia Don na Aggyjay walichat pm.
Na Don kakana hajachat na huyu binti.
Swali ni nani huyo kamwambia kwamba Don na Aggyjay walichat pm? Na kama kaweza kumtaja Don ni bora amtaje na huyo aliyemfikishia taarifa kwamba fulani na Fulani walichat pm.
Pm zinasomwa hujui tuu.[emoji51][emoji51][emoji51]
 


😂😂😂Sijui niuite utoto au kukosa kazi ???
Nyani Ngabu hebu jaribu kujiepusha na haya mauza uza hufit kbs yaan!najiskia taabu
 
manengelo jawabu lipo hapa. Nimemshauri vizuri tuu.
Kwamba kama tangu mwanzo alijua ni yeye na akakaa kimya angeendelea kukaa kimya bila kumpiga vijembe huyu binti .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…