Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huo uzi naukumbuka..hee.kumbe ni ww...!tena mie nakumbuka nilimwambia ajaribu kuwa mkubwa...sasa masuala ya kudandia mada usioijua ndo nayaona hapa...hahaa deo alikua anamuonya sana..mm.aikupenda kumuexpose mwanaume namna ile..bas inawezekana aliyekupa wa info ndo mwongo..labda ahakikishe anatuma.pm ya aggy kwako uamini🤔
Niliambiwa kuwa ndo mimi ati!
I was like WTF! How could it be me when I’ve never ever had anything of that nature with her?
Ila ndo hivyo, nikahakikishiwa kabisa.