Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitunga mkuu, kuna mahali nimekwambia sijawasiliana na Aggy kuhusiana na hiyo issue.
Watu unaowasema hawawezi kukuthibitishia chochote juu ya kwamba taarifa nilizotoa kwa Aggy.
Ongea vizuri na hizo source, ilikuwa something like brainstorming, A + B and then ikafikiwa kama hitimisho kati yetu kwamba issue inaweza kukuhusu.
I hope hutaki niziweke hapa hizo ABCs ambazo zinahusiana na hii issue.
Niseme tu kwamba hii issue Aggy alifikia sehemu akaachana nayo.
Bosi, we can all do good kwa kutoiendeleza hii kitu, lakini ukipenda naweza kukuwekea clues zote zilizohusisha hii ikawa concluded kwamba unaweza kuwa ni wewe uliyezungumziwa (of which I am 100% sure).
Na I sided with her kumshauri Aggy kwamba aachane na hiyo issue kwa sababu siyo nzuri kwake.
Hahaahaahahahahahahaah[emoji23][emoji23] amesema wampe wewe atulie
Nyete kapigwa mpaka ban[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahahaha ngoja nikae kimya kwanza nilishasema nimeokoka
Hmm...okay.
Okay
Kwa hiyo, kama nimekuelewa, ni kwamba mlikuwa mna-speculate tu kuwa yaweza kuwa mimi.
Ila, labda kwa jinsi hizo sources mbili zilivyowasilisha ujumbe kwangu, kulikuwa na upotoshaji, siyo? Yaani waliwasilisha ujumbe kama ‘a matter of fact’ na siyo otherwise.
Ngoja nirudi niwabane nione kama walinipotosha au walipotosha ulichojadiliana nao.
I’ll be more than happy ukiziweka.
Ziweke tu hizo clues ili nizi-debunk once and for all. I’ve never had any relationship with her. So kwa nini isemwe kuwa mimi ndo nilikuwa mhusika?
Clarity will serve us well.
Watu inabidi waelewe kutofautisha kati ya speculation na fact.
Hahahahahaah sasa unadhani kwa Utapeli ule ataachwa tu kiholela atambe humu?Nyete kapigwa mpaka ban[emoji23][emoji23][emoji23]
ningekuwa Moderator.
nafuta hizi nyuzi zote za kizushi, napiga na bunn kwanza watu wakapumzike..,.sheenzi
Hahahahahaah sasa unadhani kwa Utapeli ule ataachwa tu kiholela atambe humu?
Madam me sioni hata sababu ya malumbano haya, ooh sijui nani kasema hivi, ooh kaserma vile. Kisa sijui flani katoka na flani, kwani kuna kipi kigeni?Yaan upo kama mm...!kumbe humu kun watoto namna hii??mie marafiki nilionao kwanza siwaoni MMU..au la nna marafiki wazee😂😂😂...!nahofia nikisrma ni kukosa kqzi ya kufanya au ni mazoea ya ajabu ajabu na watu wa ajabu
Nyete alifanyaje jamani maarufu kweli humu [emoji851][emoji851][emoji13]
Talk to that sources, tulishea info na kufikia hitimisho kwamba Aggy anakusema wewe.
Najua kwa nini it is favorable kwako info kuwekwa hapa, kwa sababu you are clean in this, Aggy alikusoma vibaya akaja na hiyo thread.
Uzuri ile thread haijafutwa, yeyote atakayeisoma na kama ana ukaribu au ana taarifa za ukaribu wenu (not physically) haitamchukua muda kujua kwamba Aggy aliteleza.
Man, unajua ni kwa kiasi gani ulikuwa mtu wa msaada kwake, you can still be kwa kuachana na hii issue.
You know her condition, just for the sake of her health, let's forgive this.
I can take up all the blames, if need be. She needs people, she needs people's mercy.
Let's just call it off man, please.
Talk to that sources, tulishea info na kufikia hitimisho kwamba Aggy anakusema wewe.
Najua kwa nini it is favorable kwako info kuwekwa hapa, kwa sababu you are clean in this, Aggy alikusoma vibaya akaja na hiyo thread.
Uzuri ile thread haijafutwa, yeyote atakayeisoma na kama ana ukaribu au ana taarifa za ukaribu wenu (not physically) haitamchukua muda kujua kwamba Aggy aliteleza.
Man, unajua ni kwa kiasi gani ulikuwa mtu wa msaada kwake, you can still be kwa kuachana na hii issue.
You know her condition, just for the sake of her health, let's forgive this.
I can take up all the blames, if need be. She needs people, she needs people's mercy.
Let's just call it off man, please.
we naye unapotea mno had unaboa[emoji57][emoji57][emoji57]
Nilitunga mkuu, kuna mahali nimekwambia sijawasiliana na Aggy kuhusiana na hiyo issue.
Watu unaowasema hawawezi kukuthibitishia chochote juu ya kwamba taarifa nilizotoa kwa Aggy.
Ongea vizuri na hizo source, ilikuwa something like brainstorming, A + B and then ikafikiwa kama hitimisho kati yetu kwamba issue inaweza kukuhusu.
I hope hutaki niziweke hapa hizo ABCs ambazo zinahusiana na hii issue.
Niseme tu kwamba hii issue Aggy alifikia sehemu akaachana nayo.
Bosi, we can all do good kwa kutoiendeleza hii kitu, lakini ukipenda naweza kukuwekea clues zote zilizohusisha hii ikawa concluded kwamba unaweza kuwa ni wewe uliyezungumziwa (of which I am 100% sure).
Na I sided with her kumshauri Aggy kwamba aachane na hiyo issue kwa sababu siyo nzuri kwake.