Nyete alifanyaje jamani maarufu kweli humu [emoji851][emoji851][emoji13]
Kumekuchaa jaman khaaaa mbn hivi
Jaaaamaaaniiiii amkeni kumekucha amkeeeniiiii
Bora nikose kula ila niwe na bundle la kuingilia jf
Mambo ni hiviiiii
Sina makandokando mie hahahahahahaha nasema waamkeeeUkiona mwenzako ananyolewa zako tia maji hahahhahaha
Hamken bana hamkeni
Eeeeeh jamani mbona nasutwa tena mebidi niwe mpole...Shost ila ulichonifanyia Sawa tu nakwambia najua wewe ni pacha wangu yan jiran kama sikosei
Nilitunga mkuu, kuna mahali nimekwambia sijawasiliana na Aggy kuhusiana na hiyo issue.
Watu unaowasema hawawezi kukuthibitishia chochote juu ya kwamba taarifa nilizotoa kwa Aggy.
Ongea vizuri na hizo source, ilikuwa something like brainstorming, A + B and then ikafikiwa kama hitimisho kati yetu kwamba issue inaweza kukuhusu.
I hope hutaki niziweke hapa hizo ABCs ambazo zinahusiana na hii issue.
Niseme tu kwamba hii issue Aggy alifikia sehemu akaachana nayo.
Bosi, we can all do good kwa kutoiendeleza hii kitu, lakini ukipenda naweza kukuwekea clues zote zilizohusisha hii ikawa concluded kwamba unaweza kuwa ni wewe uliyezungumziwa (of which I am 100% sure).
Na I sided with her kumshauri Aggy kwamba aachane na hiyo issue kwa sababu siyo nzuri kwake.
Hivi upo humu au umetoka hehehehehheehehShost ila ulichonifanyia Sawa tu nakwambia najua wewe ni pacha wangu yan jiran kama sikosei
Nlikua nasoma tu sifa zake. Kila hapa loh!kanionesha rangi yake halisiEti oooh unadhalilika kwa kipi anajifanya kukuhurumia unafiki mtupu ajishauru kwanza yeye naona anakukandamiza hakandamiziki mtu hapa aggy kaa mbali na huyu mtu anajifanya mshauri wakati anapuliza na kuchoma
Sijaona kosa lako aggy huna kosa hapa zaidi ya uchonganishi tu nishakuambia case closed
Don Muache huyu binti mmezoea kuonea wanawake mtu asiandike uzi mshajishuku aggy yupo msafi hana kosa lolote zile nyuzi aliandikwa mtu mwingine kabisa
HahahahaKupatwa kwa wanaume wa jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Vipi? Naona umeniita mwana kitengo ukipenda niite musiba
Bado wewe.Hahahaha
Kupatwa kwa wanaume wa jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Karibu ujionee yanayoendelea duniani hukuVipi? Naona umeniita mwana kitengo ukipenda niite musiba
Karibu ujionee yanayoendelea duniani huku