Naumia, nami ni binadamu

Asante.nimeshawafahamu vema.
Lengo ni kuwapa tu ujumbe,lakini kama siwezi kuwabadili ntawakabili.
Yakikuelemea mlilie Mungu, lia kwake, yaseme yote kwake upate ahueni. Ukimaliza nyanyuka chapa mwendo. Sie binadamu tusikusumbue kichwa kabisa.
 
Asante suriya
Ni Mungu pekee awezae kuubadili moyo wako na kuufanya kuwa mgumu,
Kwani akikaa ndani yako na utaenenda kwa jinsi ya kiroho.
Wanadamu hawata kutenda kitu.

Lakini ukitegemea uwezo wako mwenyewe, wanadamu lazima wakuvyoge vyoge na kukuumiza.
 
Mkuu sikua na ahadi za sina hiyo.labda yeye ndo a nawaza hivo.
Na wala sina hisia za mapenzi nao
Masikini hutujui sie! Alikuwa anadhani huo msaada ni mtama kwa mtoto. Tatizo haoni ukijiongeza. Huwa nawatahadharisha mabinti kupata misaada kutoka kwa wanaume ambao si wa tumbo moja. Hilo lielewe leo
 
Agy pole. Ila ngoja nikushauri nikupe ushauri tofauti.
Yawezekana hawakufanyii makusudi, kupishana huku jukwaani ni kawaida sana. Kujibiana shombo ni kawaida sana. Sasa pengine wewe unahisi wanafanya hivo kwa sababu wamekusaidia.

Na hata kama wapo wanaofanya hivyo labda ni mmoja au wawili pasikufanye ukaona watu wote 10+ wanakufanyia hivyo.

Kuhusu kuwalipa, hauwezi kuwalipa kabisa. Nakazia kwamba HAUWEZI KUWALIPA KAMWE. kwa sababu ile sio hela tuu walikupa Bali walikufanyia WEMA, WALIKUINUA KIPINDI UMEANGUKA, WALIKUFANDILI. Hela utawapa lakini hela sio kitu , Fadhila walizokutendea hauwezi kuzirudisha kwa sababu hazirudishwi kwa pesa.

Usizire. Muombe Mungu akupe uvumilivu na ujasiri. Na pia jaribu kuishi kama hamna kilichotokea.

Watu waliokufanyia WEMA lazima wanajisikia vibaya kwa hivi unavyoviandika, mara utawarudishia, Mara unawajua wote. Kila mtu anaweza akawa anahisi unamwona adui kisa alikusaidia.

Kosa la mtu mmoja au wawili lisikufanye uone watu wote waliokusaidia wanakunyanyasa.
 
Loh!sawa mkuu
Masikini hutujui sie! Alikuwa anadhani huo msaada ni mtama kwa mtoto. Tatizo haoni ukijiongeza. Huwa nawatahadharisha mabinti kupata misaada kutoka kwa wanaume ambao si wa tumbo moja. Hilo lielewe leo
 
Asante mkuu
 
Pole sana, usife moyo wakati mwingine huna budi kupuuza japo inaumiza[emoji26][emoji26]
 
You have grown up enough,you are matured enough!
 
Manengelo dadangu unaweza sema najistukia.but ukiangalia wanaenda straight kwenye hili bila kificho.watu wananijulisha pm,wanahangaika sijui kufukua thread za nyuma for what?
Halafu ukiangalia vitu havihusiani kabisa na wao,wanajistukia,wanatumia kigezo cha msaada kuattack.kwa nini wao wasikae mbali na Mimi na kuacha kuongelea yalopita?
Si wapi attention,Bali kelele zao zinanikera.
Duh ...pole...au unajistukia tu mwenywe...!kama Serikali yenyewe inasaidiwa sembuse binadamu...ww songa mbele..usiwape attention..alikusaidia yamepita...usiweke mazoea nao!usirudishe ht mia
 



Mie ndo najua leo uliwah saidiwa naijua tu tmuzi wako m1 ultamani kujiua .. ss mbona hapo patamu??wafate pm waambie jaman kunisaidia kusinifanye nishindwe kujiachia usipumue kisa ?khaaa ..mm humu@KingY aliwah nisaidia hela ila akiongea shit jukwaa za siasa nampa dislike kbs..iweje wakuonee hvyo !ww unawaogopa..wachane live
 
Relax mtoto mzuri aggyjay kuwa na amani ya moyo. Katika ulimwengu huu ulio jaa chuki, unafiki na vita huwezi mridhisha kila mtu na huwezi pendwa na kila mtu.

Matatizo ni sehemu ya maisha tume umbiwa binadamu wote na kila mtu humpata kwa wakati wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…