Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
- Thread starter
- #41
Asante.nimeshawafahamu vema.
Lengo ni kuwapa tu ujumbe,lakini kama siwezi kuwabadili ntawakabili.
Lengo ni kuwapa tu ujumbe,lakini kama siwezi kuwabadili ntawakabili.
Masikini pole sana mama, ndio walimwengu tulivyo. Usiwe ma moyo mwepesi wa kubeba mambo kiasi hicho dear. Hii dunia ina mengi na hayo ndio kwanzaaa kumekucha. I feel yo pain na nafikiri niliona hivyo vijembe kutoka kwa wawili wa waliokusaidia ila usipate taabu maana nafikiri tayari unawafahamu ni watu wa aina gani. Haupaswi kuwapa nafasi kabisa ya kuizuia furaha yako.
Hauna haja ya kurudisha hizo pesa, ichukulie tu kama funzo kwako na endelea na maisha yako. Mshukuru Mungu uko na afya njema sasa, muombe azidi kukupa afya ili upambane ufikie malengo yako.
Yakikuelemea mlilie Mungu, lia kwake, yaseme yote kwake upate ahueni. Ukimaliza nyanyuka chapa mwendo. Sie binadamu tusikusumbue kichwa kabisa.