Naumia, nami ni binadamu

Umeolewa mama...?Nauliza tu jamani nijue

@Hannah
 
Aisee.!!Umeongea point kubwa sana..

Kiukweli umenigusa kwa maneno yako ya busara!!!
 
Pole saana ila kumbuka Wema haulipwi hata siku moja, hayo mengine chukulia kama mapungufu tu yakibinadamu kama ulivyosema hata ww unajua unamapungufu yako ya kibinadamu... Jah bless u queen
 

Nimejibana sana nisiandike kitu kwenye hii thread.

Nahisi nitakuwa upande tofauti sana.

Thank you for this useful post.
 
Mkuu pole sana kwa changamoto za maisha..mimi nawashauri usiwalipe hata mia hao vidomodomo, kama wanalalama muende tu mkutane mahakamani!
 
Pole Sana Dada kwa ayo unayo pitia ukiona Giza nene ujue asubuh kumekaribia usiumizwe na watu kumbuka thamani yako ni kubwa kwa Mungu na sio kwa Mungu pekee ata kwa sisi marafiki zako wengine wa jf jipe moyo utashinda na maumivu yako ni yetu sote kumbuka watu wanatofautiana na jf ni pori kuna mbwa,nyoka ,fisi na mashetan pia ayakosi ata usijali kuhusu huo mchango kidogo wa Bima ni wajibu wetu chini ya jua kusaidiana ktk safar hii ya dunian jipe moyo na kua na iman bado kitambo yote yataisha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…