Naumia, nami ni binadamu

Naumia, nami ni binadamu

Nilishawahi kulisema hili kwamba litaelekea huku.

Naamini aggyjay anakumbuka comments zangu kwenye uzi wake ulioibua haya yote.

Nakumbuka kusoma nasaha zako zile.

Kipindi hicho nilikuwa likizo hapa JF.

Huyu mwanzishaji wa hii mada alianzisha mada mbili.

Ya kwanza ilikuwa kumhusu ‘bebi’ wake ambaye alikuwa hapokei simu zake, nk.

Ya pili ikawa ni mrejesho wa hiyo mada ya kwanza.

Hiyo mada ya kwanza hakumtaja huyo mtu. Lakini kwa jinsi alivyoandika ni zuzu tu ambaye asingeng’amua kuwa ni mtu yupi aliyekuwa anazungumziwa.

Baada ya hiyo mada kuanzishwa na watu kuanza ku guess mhusika ni nani, nikaanza kutafutwa nje ya JF.

Nikaanza kuulizwa ‘we Ngabu umemfanya nini huyo mtu?’ Maana anakuongelea huko JF.

Nikashangaa sana. Ananiongelea huko JF kwa lipi? Kuja kusoma nikabaki nashangaa tu.

Maana mimi sina uhusiano naye. Sijawahi kuwa na uhusiano naye. Sasa iweje awe ananizungimzia mimi?? Sipokei simu zake zipi ilhali hata namba yangu ya simu hana? Nikabaki nashangaa tu.

Baadaye nikatafutwa tena na nikapewa uhakikisho kuwa ni kweli huo uzi ulikuwa unanihusu mimi.

Supposedly, huyo mwanzisha uzi sijui uliwasiliana naye na aka confirm kwako kuwa ni kweli huo uzi wake ulikuwa umenilenga mimi.

Nikapotezea tu kwa sababu hakukuwa na ukweli wowote ule. Zaidi ya kumsaidia tu kiubinadamu, mimi sijawahi kabisa kuwa na uhusiano naye kimapenzi kama alivyoelezea yeye.

Sasa imagine mtu umemsaidia, tena siyo mara moja, halafu anakuja anakuzushia mambo ya ajabu ajabu kabisa yasiyo na mbele wa nyuma.

Nikam- cancel. Nikampuuza kama mwendawazimu.

Sasa naona hapa analalamika. Analalamika nini wakati ulimuonya kipindi kile kuwa this will not end well for her?

Dish limeyumba huyo.

Unless aje akiri hapa kuwa hakuwa ananizungumzia mimi, otherwise I stand by everything I’ve said.
 
Nakumbuka kusoma nasaha zako zile.

Kipindi hicho nilikuwa likizo hapa JF.

Huyu mwanzishaji wa hii mada alianzisha mada mbili.

Ya kwanza ilikuwa kumhusi ‘bebi’ wake ambaye alikuwa hapokei simu zake, nk.

Ya pili ikawa ni mrejesho wa hiyo mada ya kwanza.

Hiyo mada ya kwanza hakumtaja huyo mtu. Lakini kwa jinsi alivyoandika ni zuzu tu ambaye asingeng’amua kuwa ni mtu yupi aliyekuwa anazungumziwa.

Baada ya hiyo mada kuanzishwa na watu kuanza ku guess mhusika ni nani, nikaanza kutafutwa nje ya JF.

Nikaanza kuulizwa ‘we Ngabu umemfanya nini huyo mtu?’ Maana anakuongelea huko JF.

Nikashangaa sana. Ananiongelea huko JF kwa lipi? Kuja kusoma nikabaki nashangaa tu.

Maana mimi sina uhusiano naye. Sijawahi kuwa na uhusiano naye. Sasa iweje awe ananizungimzia mimi?? Nikabaki nashangaa tu.

Baadaye nikatafutwa tena na nikapewa uhakikisho kuwa ni kweli huo uzi ulikuwa unanihusu mimi.

Supposedly, huyo mwanzisha uzi sijui uliwasiliana naye na aka confirm kwako kuwa ni kweli huo uzi wake ulikuwa umenilenga mimi.

Nikapotezea tu kwa sababu hakukuwa na ukweli wowote ule. Zaidi ya kumsaidia tu kiubinadamu, mimi sijawahi kabisa kuwa na uhusiano naye kimapenzi kama alivyoelezea yeye.

Sasa imagine mtu umemsaidia, tena siyo mara moja, halafu anakuja anakuzushia mambo ya ajabu ajabu kabisa yasiyo na mbele wa nyuma.

Nikam- cancel. Nikampuuza kama mwendawazimu.

Sasa naona hapa analalamika. Analalamika nini wakati ulimuonya kipindi kile kuwa this will not end well for her?

Dish limeyumba huyo.
Ngabu samehe bure, sanasana wasamehe hao waliokuletea taarifa ambazo hawana uhakika nazo, ule uzi niliufuatilia comment moja moja hakuna mahali ulitajwa na pia kuna mdau akijaribu kuunganisha dots za wewe na ule uzi lakini mimi sikuona kama zinaconnect. Kubwa zaidi mwisho wa siku mtoa mada alikiri kuwa uzi ule haukuwa ukimhusu mtu yeyote ila aliandika tu kufurahisha genge, au kwa lugha yetu humu tunasema kutafuta attention, unajua ujana tena teh
 
Ngabu samehe bure, sanasana wasamehe hao waliokuletea taarifa ambazo hawana uhakika nazo, ule uzi niliufuatilia comment moja moja hakuna mahali ulitajwa na pia kuna mdau akijaribu kuunganisha dots za wewe na ule uzi lakini mimi sikuona kama zinaconnect. Kubwa zaidi mwisho wa siku mtoa mada alikiri kuwa uzi ule haukuwa ukimhusu mtu yeyote ila aliandika tu kufurahisha genge, au kwa lugha yetu humu tunasema kutafuta attention, unajua ujana tena teh

Anhaa...kumbe ulienda kuusoma eh?

Ni hivi, yeye mwenyewe huyu mwanzisha mada aliwasiliana na Don C kwenye PM.

Huko kwenye PM ndo aka confirm kwamba mlengwa wa huo uzi ilikuwa ni mimi.

Sasa basi, unless wote wawili waje hapa kukanusha na huyo mwanzisha mada akanushe kuwa hakuwa ananizungumzia mimi, Nitafuta kauli zangu na kuomba radhi.

Lakini mpaka hapo itapotokea hivyo, mimi sina kosa lolote lile.

Hata ingekuwa wewe umenisaidia kiubinadamu, nje ya hapo hatuna uhusiano wa kimapenzi, halafu unakuja kuona nimekuanzishia uzi kama huo, utajisikiaje?

Hutoniona mi mzushi?

Zaidi ya huruma za kiubinadamu, mimi sikuwa na jingine kabisa kwake.

Tena nilisaidia hata ku vouch kwenye ule uzi wake wa kuomba msaada kwamba ni kweli alikuwa na shida kwa sababu niliwahi kuthibitisha kwa macho yangu.
 
Anhaa...kumbe ulienda kuusoma eh?

Ni hivi, yeye mwenyewe huyu mwanzisha mada aliwasiliana na Don C kwenye PM.

Huko kwenye PM ndo aka confirm kwamba mlengwa wa huo uzi ilikuwa ni mimi.

Sasa basi, unless wote wawili waje hapa kukanusha na huyo mwanzisha mada akanushe kuwa hakuwa ananizungumzia mimi, Nitafuta kauli zangu na kuomba radhi.

Lakini mpaka hapo itapotokea hivyo, mimi sina kosa lolote lile.

Hata ingekuwa wewe umenisaidia kiubinadamu, nje ya hapo hatuna uhusiano wa kimapenzi, halafu unakuja kuona nimekuanzishia uzi kama huo, utajisikiaje?

Hutoniona mi mzushi?

Zaidi ya huruma za kiubinadamu, mimi sikuwa na jingine kabisa kwake.

Tena nilisaidia hata ku vouch kwenye ule uzi wake wa kuomba msaada kwamba ni kweli alikuwa na shida kwa sababu niliwahi kuthibitisha kwa macho yangu.
Aisee kama alithibitisha kabisa sina la kusema tena
 
Aisee kama alithibitisha kabisa sina la kusema tena

Ndo hivyo!

Unless wote wawili, yeye mwanzisha mada na Don C waje wakanushe hapa kuwa hawakuwasiliana kwenye PM na yeye mwanzisha mada kumwambia Don C kuwa mlengwa ilikuwa ni mimi, nasimamia yote niliyoyaandika.

Sikuyaanza mimi haya. Iweje ndo nionekane mbaya?

Don alimuonya huyo mtu. Akamfuata hadi PM huko....
 
Nakumbuka kusoma nasaha zako zile.

Unless aje akiri hapa kuwa hakuwa ananizungumzia mimi, otherwise I stand by everything I’ve said.

Kwenye ile thread nilizingua kuandika kama vile namjua muhusika moja kwa moja, lengo ilikuwa ni kumwomba aachane na hiyo issue kwa sababu straight niliwaza kwamba anayetajwa ni moja ya wahisani wake kwenye issue za bima, hivyo nikaona kama inaenda kumuharibia kama ikitokea akahitaji msaada kwenye renewal ya bima.

Ukisoma maandishi yake utaona kabisa kwamba aliyetajwa ni member wa JF, ila cha ajabu analalamika kwamba hajawahi hata kupigwa naye busu, hivyo tukawa tunashangaa kwa nini alalamike vile.

Good thing alibadili gia akatuambia alikuwa anatania, kiheshima watu walikausha.
 
Kwenye ile thread nilizingua kuandika kama vile namjua muhusika moja kwa moja, lengo ilikuwa ni kumwomba aachane na hiyo issue kwa sababu straight niliwaza kwamba anayetajwa ni moja ya wahisani wake kwenye issue za bima, hivyo nikaona kama inaenda kumuharibia kama ikitokea akahitaji msaada kwenye renewal ya bima.

Ukisoma maandishi yake utaona kabisa kwamba aliyetajwa ni member wa JF, ila cha ajabu analalamika kwamba hajawahi hata kupigwa naye busu, hivyo tukawa tunashangaa kwa nini alalamike vile.

Good thing alibadili gia akatuambia alikuwa anatania, kiheshima watu walikausha.

Oh okay.

Naomba unijibu hili swali. Kama huwezi kujibu hapa unaweza kunipa majibu PM.

Wewe hukumfuata PM na kumwuliza kuwa alikuwa anamzungumzia nani na yeye akakujibu kuwa alikuwa ananizungumzia mimi?

Naomba useme ukweli, tafadhali....
 
Ndo hivyo!

Unless wote wawili, yeye mwanzisha mada na Don C waje wakanushe hapa kuwa hawakuwasiliana kwenye PM na yeye mwanzisha mada kumwambia Don C kuwa mlengwa ilikuwa ni mimi, nasimamia yote niliyoyaandika.

Sikuyaanza mimi haya. Iweje ndo nionekane mbaya?

Don alimuonya huyo mtu. Akamfuata hadi PM huko....

Nilimuonya, sikuwa nimewasiliana naye PM, na hakuna mahali alipokutaja au mimi kukutaja, ni ile kuunganisha tu taarifa kutokana na maelezo mengi aliyoyatoa kuhusu muhusika, point yangu ilikuwa kumwonya kwa kujua kwamba moja ya watu anaowataja ni wahisani wake, hivyo awe na shukrani.

Najua jinsi JF inavyo trade kwenye kufukua makaburi mtu anapokuja kuomba msaada, sikujua (hakutaja) kama yuko financially well-off kama anavyosema yuko sasa hivi na yuko tayari kuwalipa wote, nikajua anaweza kuja hapa renewal ikikaribia watu wakazingua kusaidia.
 
Nilimuonya, sikuwa nimewasiliana naye PM, na hakuna mahali alipokutaja au mimi kukutaja, ni ile kuunganisha tu taarifa kutokana na maelezo mengi aliyoyatoa kuhusu muhusika, point yangu ilikuwa kumwonya kwa kujua kwamba moja ya watu anaowataja ni wahisani wake, hivyo awe na shukrani.

Najua jinsi JF inavyo trade kwenye kufukua makaburi mtu anapokuja kuomba msaada, sikujua (hakutaja) kama yuko financially well-off kama anavyosema yuko sasa hivi na yuko tayari kuwalipa wote, nikajua anaweza kuja hapa renewal ikikaribia watu wakazingua kusaidia.
Just an FYI, mimi sina tatizo na wewe. Matter of fact, most of the time I just mind my own business. I don’t start shit.

Hivyo nakuuliza tu ili nipate uhakika maana kwa taarifa nilizopewa ni kwamba uli slide kwa PM yake na kumhoji zaidi.
 
Okay.

Ngoja nirudi kwa aliyeniletea hizo taarifa....

Sijaenda PM kwake, isipokuwa baada ya mimi kuandika vile kuna baadhi walisema muhusika ni mimi, and then wengine wakawa wamewaza mtu mwingine.

Alikuja mtu PM kuniuliza kuhusu hii issue, nilimjibu the same kwamba sijawasiliana na Aggy, na kilichosababisha niandike vile ilikuwa kuizima hii issue.
 
Sijaenda PM kwake, isipokuwa baada ya mimi kuandika vile kuna baadhi walisema muhusika ni mimi, and then wengine wakawa wamewaza mtu mwingine.

Alikuja mtu PM kuniuliza kuhusu hii issue, nilimjibu the same kwamba sijawasiliana na Aggy, na kilichosababisha niandike vile ilikuwa kuizima hii issue.

Okay, no problem.

I’ll get to the bottom of it....
 
Kwa marafiki na jamaa wa jf.
Mwaka 2018 nilipata tatizo la ghafla na kuugua,na pia sikua na uwezo ama kujiaandaa kukabiliana na hill tatizo.kwani nlitoka kwenye kipindi kigumu cha kumuuguza ndugu yangu na sikua na kipato,hali ilivozidi kuwa mbaya ikanilazimu kuomba msaada kwa baadhi ya marafiki wa jf,kuna watu walijitokeza na kunisaidia kupata 300K ya bima ya Afya nkaleta na mrejesho
Lakini tatizo liko hapa;
Kuna baadhi ya member mnaniweka kwenye masikitko na huzuni,its like Mimi ndo wa kwanza kupata matatizo na kuomba msaada jf?
Imekua too much kwa sasa,lisitokee jambo mtu kaibuka na kuongeea msaada nliopata,kuna wengine mnafikia hata ya kunidhalilisha kwa makosa yasiyojulikana,makosa ambayo siyajui na hapana ukweli kabisa.

Kuna mda mwingine nakubali nakosea,nakubali na naomba mkumbuke Mimi ni binadamu kama wengine sio malaika.
Lakini kinachoshangaza na kuumiza mtu anakuja na kuingiza habari za msaada kwenye hayo masuala..its inhumane.
I appreciate what you did to me,ni kitu kikubwa ambacho kilinisaidia mno,lakini the way mnavolikuza na kuliongelea ni kama nlipewa mkopo na si msaada wa kibinadamu..
Whenever you get a chance u use it to insult me..why!
Mimi ndo wa kwanza kuomba msaada humu jf?kama kwenye matatizo wore wangetreatiwa hivi ni yupi angekua na amani mbele za watu?
guys,nlipoteza wazazi wore wawili nkiwa mdogo sana.nkachukuliwa na familia ya mtu,nkakua kwao,lakini kila nikikosewa au kufanyiwa ubaya kama binadamu nkiongea kuonyesha nlivokereka maneno ntayorudishiwa ni "huna baba wala mama,tumekulea hadi umekua nk.!
Nnapopokea kauli kama hizi natamani nifanye malipo,angalau kupunguza maneno,,lakini malipo ya wema na utu ntayalipaje,kama ni chakula ntawalisha nkifanikiwa.
Na kwenu pia,nashukuru sana kwa mda wenu,kujitoa kwenu na upendo wenu mlioonyesha.wenyezi Mungu Atawalupa kwa hili.
Lakini kwa upande wa pesa angalau ntawalipa.nko imara kwa sasa hapo sio kikamilifu lakini nna nguvu ya kufanya mengi ukilinganisha na mda uliopita.
Ntajitahidi kwa kadri ya uwezo wangu nirudishe kidogo kidogo angalau maneno yapungue.maana najiona nna deni kwa jinsi hali ilivo.

Watu walionifanikisha msaada wapo 13.kipindi napokea msaada niliwanote kwenye diary, na wote nawajua I'd zao na amount ya kila mmoja.ntajitahidi taratibu kurudisha angalau nipate nafuu.
Nawapemda wote!
Aggy!

Shut up,relax and enjoy the dollars you looted!

Dont make noise while eating!

Manners!
 
Nimejikuta nimeganda kwa sekunde nikikumbuka yaliyonikuta mm...Nimejikuta naumia na nahisi unavyoumia..Pole sana dada angu pole tena sana ila amini mungu yungali anakupima na hutakuja amini mbeleni utavyojaaliwa neema...pole sanaaa [emoji24][emoji24]
 
Ukweli umejistukia.tena vibaya mno.
Na ukiujua ukweli lawama utazipeleka kwa hayo waliokua wanadai nakuongelea wewe
1.unafanya kazi hapa DSM unaondoka asubuhi na kurudi jioni?
2.unaishi maeneo ya kimara ambapo umejenga Nyumba huko?
3.una mtoto anaesoma kindergarten hapa Dar?
Nijibu.

Sikutaka kumfunua yule mtu kuendelea kuwafaidisha wambea,na watu wakaanza kutapatapa huku na kule ndo ukaulizwa wakihitaji tu kumjua MTU na kucomfirm.matokeo nawe ukaingia kichwa na kujishuku.
Sijawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wewe na hili unalijua,na wala sijawahi waza hili jambo katika maisha yangu since nikujue..iam sorry!

Wasijishuku mwanaume woote wa jf ujidhanie wewe,for what?
Nafahamiana na mwanaume wengi sana humu.mbona wao hawapapariki?

Mimi Mara ya mwisho kuwasiliana na wewe 2017,baada ya hapo nkapoteza line.2018 yote hadi 19 niliwahi hata kukutafuta whatasap?
Pale kwenye thread nalalamika mwanaume yupo ofisini namtumia ujumbe WhatsApp anasoma anapotezea,sina namba yako ,sina mawasiliano nawe wala sijui huko wapi nije niandike hivi Mimi ni taahira?

Then unaniita mie mwenda wazimu? kana kweli ulihisi na kuongelea wewe si ungeniface uniconfront nikujibu pale pale kama ni wewe au la!
Unatunza false accusations later unakuja kuachia vitu havihusiani kabisa na wewe.sasa hapo mwenda wazimu ni Mimi au wewe?

Nakuheshimu sana ngabu,na sijawahi kamwe kukusea heshima.now naona unaniforce nifanye hivo.jiangalaie!
Nakumbuka kusoma nasaha zako zile.

Kipindi hicho nilikuwa likizo hapa JF.

Huyu mwanzishaji wa hii mada alianzisha mada mbili.

Ya kwanza ilikuwa kumhusu ‘bebi’ wake ambaye alikuwa hapokei simu zake, nk.

Ya pili ikawa ni mrejesho wa hiyo mada ya kwanza.

Hiyo mada ya kwanza hakumtaja huyo mtu. Lakini kwa jinsi alivyoandika ni zuzu tu ambaye asingeng’amua kuwa ni mtu yupi aliyekuwa anazungumziwa.

Baada ya hiyo mada kuanzishwa na watu kuanza ku guess mhusika ni nani, nikaanza kutafutwa nje ya JF.

Nikaanza kuulizwa ‘we Ngabu umemfanya nini huyo mtu?’ Maana anakuongelea huko JF.

Nikashangaa sana. Ananiongelea huko JF kwa lipi? Kuja kusoma nikabaki nashangaa tu.

Maana mimi sina uhusiano naye. Sijawahi kuwa na uhusiano naye. Sasa iweje awe ananizungimzia mimi?? Sipokei simu zake zipi ilhali hata namba yangu ya simu hana? Nikabaki nashangaa tu.

Baadaye nikatafutwa tena na nikapewa uhakikisho kuwa ni kweli huo uzi ulikuwa unanihusu mimi.

Supposedly, huyo mwanzisha uzi sijui uliwasiliana naye na aka confirm kwako kuwa ni kweli huo uzi wake ulikuwa umenilenga mimi.

Nikapotezea tu kwa sababu hakukuwa na ukweli wowote ule. Zaidi ya kumsaidia tu kiubinadamu, mimi sijawahi kabisa kuwa na uhusiano naye kimapenzi kama alivyoelezea yeye.

Sasa imagine mtu umemsaidia, tena siyo mara moja, halafu anakuja anakuzushia mambo ya ajabu ajabu kabisa yasiyo na mbele wa nyuma.

Nikam- cancel. Nikampuuza kama mwendawazimu.

Sasa naona hapa analalamika. Analalamika nini wakati ulimuonya kipindi kile kuwa this will not end well for her?

Dish limeyumba huyo.

Unless aje akiri hapa kuwa hakuwa ananizungumzia mimi, otherwise I stand by everything I’ve said.
 
Afadhali wewe umeliona hili
Amenikosea sana huyu mtu.
Mtu unaanzaje kuamini rumours na kuziweka moyoni bila kuthibitisha?
Now anajiaibisha tu hapa
Ngabu samehe bure, sanasana wasamehe hao waliokuletea taarifa ambazo hawana uhakika nazo, ule uzi niliufuatilia comment moja moja hakuna mahali ulitajwa na pia kuna mdau akijaribu kuunganisha dots za wewe na ule uzi lakini mimi sikuona kama zinaconnect. Kubwa zaidi mwisho wa siku mtoa mada alikiri kuwa uzi ule haukuwa ukimhusu mtu yeyote ila aliandika tu kufurahisha genge, au kwa lugha yetu humu tunasema kutafuta attention, unajua ujana tena teh
 
Back
Top Bottom