Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji23][emoji23][emoji23] basi Makubaliano yafanyike mapema mtu ajue kabisaAu kulikuwa na ahadi za k na hukuzitimiza! Kumbuka sie wanaume huwa hatutoi misaada isiyokuwa na k attached
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] basi Makubaliano yafanyike mapema mtu ajue kabisaAu kulikuwa na ahadi za k na hukuzitimiza! Kumbuka sie wanaume huwa hatutoi misaada isiyokuwa na k attached
Aisee..!Ukitoa msaada ww sepa zako...haijalishi mtofautiane au vip...!usisubiri kulipwa fadhila..Atalipa Mungu
Nimekosea kwani?Aisee..!
I have no idea.Nimekosea kwani?
Kadiri siku zinavyoenda ndivyo ambavyo kutoa au kuomba msaada JF inakuwa ngumu.
Wasikutoe kwenye reli we ndio ndoano yangu ya kumnasa p.Asante mkuu
Wasikutoe kwenye reli we ndio ndoano yangu ya kumnasa p.
usiwe mwepesi hivyoo binadamu watakunyanyasa sana kuwa imara.
Bora wewe umeona hili.sikovkwaajili ya kumsema mtu.Bali kuijulisha jamii juu ya hii tabia..imeshamiri mnosio vizuri kwa kweli.
kumsaidia mtu sio tiketi ya kumsimanga.
NimekuelewaHao washamba tu ...wapuuzie ''Tambua kwamba humu Kuna baadhi ya mijitu haijitambui na ndio hao wanaoshinda humu na kisha kuanza kuwachafua watu as if wao ni wasafi ....
Wapotezee tu
Mna group la wtsp?Ni wewe Kule whatsapp unatumia jina la Mary Machume ?
Kwa marafiki na jamaa wa jf.
Mwaka 2018 nilipata tatizo la ghafla na kuugua,na pia sikua na uwezo ama kujiaandaa kukabiliana na hill tatizo.kwani nlitoka kwenye kipindi kigumu cha kumuuguza ndugu yangu na sikua na kipato,hali ilivozidi kuwa mbaya ikanilazimu kuomba msaada kwa baadhi ya marafiki wa jf,kuna watu walijitokeza na kunisaidia kupata 300K ya bima ya Afya nkaleta na mrejesho
Lakini tatizo liko hapa;
Kuna baadhi ya member mnaniweka kwenye masikitko na huzuni,its like Mimi ndo wa kwanza kupata matatizo na kuomba msaada jf?
Imekua too much kwa sasa,lisitokee jambo mtu kaibuka na kuongeea msaada nliopata,kuna wengine mnafikia hata ya kunidhalilisha kwa makosa yasiyojulikana,makosa ambayo siyajui na hapana ukweli kabisa.
Kuna mda mwingine nakubali nakosea,nakubali na naomba mkumbuke Mimi ni binadamu kama wengine sio malaika.
Lakini kinachoshangaza na kuumiza mtu anakuja na kuingiza habari za msaada kwenye hayo masuala..its inhumane.
I appreciate what you did to me,ni kitu kikubwa ambacho kilinisaidia mno,lakini the way mnavolikuza na kuliongelea ni kama nlipewa mkopo na si msaada wa kibinadamu..
Whenever you get a chance u use it to insult me..why!
Mimi ndo wa kwanza kuomba msaada humu jf?kama kwenye matatizo wore wangetreatiwa hivi ni yupi angekua na amani mbele za watu?
guys,nlipoteza wazazi wore wawili nkiwa mdogo sana.nkachukuliwa na familia ya mtu,nkakua kwao,lakini kila nikikosewa au kufanyiwa ubaya kama binadamu nkiongea kuonyesha nlivokereka maneno ntayorudishiwa ni "huna baba wala mama,tumekulea hadi umekua nk.!
Nnapopokea kauli kama hizi natamani nifanye malipo,angalau kupunguza maneno,,lakini malipo ya wema na utu ntayalipaje,kama ni chakula ntawalisha nkifanikiwa.
Na kwenu pia,nashukuru sana kwa mda wenu,kujitoa kwenu na upendo wenu mlioonyesha.wenyezi Mungu Atawalupa kwa hili.
Lakini kwa upande wa pesa angalau ntawalipa.nko imara kwa sasa hapo sio kikamilifu lakini nna nguvu ya kufanya mengi ukilinganisha na mda uliopita.
Ntajitahidi kwa kadri ya uwezo wangu nirudishe kidogo kidogo angalau maneno yapungue.maana najiona nna deni kwa jinsi hali ilivo.
Watu walionifanikisha msaada wapo 13.kipindi napokea msaada niliwanote kwenye diary, na wote nawajua I'd zao na amount ya kila mmoja.ntajitahidi taratibu kurudisha angalau nipate nafuu.
Nawapemda wote!
Aggy!
Ninalo mkuuMna group la wtsp?