Naumia, nami ni binadamu

Naumia, nami ni binadamu

Soon baada ya kusoma hii story nikajikuta namuonea huruma mtu mwenye matatizo yanayoitaji msaada ila nimejiuliza how comes unampa mtu msaada afu then unatumia kama tool Kum drive, no, is not fair at all. Lakini kadri post zinavyozidi kutiririka unaona kuna cha zaidi. Anyway tuache hayo cha msingi ni kuvumiliana na kupokeana kwa hali tulizo nazo. Kuishi, kusahau, kuheshimiana na kupendana.
Ya ngoswe tuyaache dear...
Nakuhamu mhenga
 
Back
Top Bottom