Naumia, nami ni binadamu

Naumia, nami ni binadamu

Nimejikuta natokwa na machozi. Mungu akufanyie muujiza Aggy. Wewe ni wa juu tu,haya unayopitia Mungu alishakuandikia kabla hata hujazaliwa,kwenye dini yangu tunaita MAKADIRI.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mhenga wangu bwana.. Siwezi enea bana tafuta pengine pa kuniwekaa
Basi nikupe Uhuru wa kuchagua si unajua mambo ya democracy 🤔🤔🤔 usije kuniambia nimekuteka bure...jiteke mwenyeeeewe.
 
Mara nyingi wanaotoa misaada huwa wanaamini wanachakukudai na wako radhi kukuambia chochote wanachotaka na watataka uwatii, sio uungwana, sijasoma comment zote mpaka mwisho lakini kama kunawanaume mmemsaidia member halafu na nyie mnakuwa sehemu ya kumnyima amani kwa namna yoyote ile sio sawa kabisa, mi naamini Aggyjay kunamengine hajasema hapa maana kaongea kiukomavu sana, em mpeni relief mwenzenu. Tenda wema nenda zako usingoje shukrani, shukrani anatoa Mungu baada ya msaidiwaji kukuombea kwa msaada uliomfanyia.
 
Nakumbuka kusoma nasaha zako zile.

Kipindi hicho nilikuwa likizo hapa JF.

Huyu mwanzishaji wa hii mada alianzisha mada mbili.

Ya kwanza ilikuwa kumhusu ‘bebi’ wake ambaye alikuwa hapokei simu zake, nk.

Ya pili ikawa ni mrejesho wa hiyo mada ya kwanza.

Hiyo mada ya kwanza hakumtaja huyo mtu. Lakini kwa jinsi alivyoandika ni zuzu tu ambaye asingeng’amua kuwa ni mtu yupi aliyekuwa anazungumziwa.

Baada ya hiyo mada kuanzishwa na watu kuanza ku guess mhusika ni nani, nikaanza kutafutwa nje ya JF.

Nikaanza kuulizwa ‘we Ngabu umemfanya nini huyo mtu?’ Maana anakuongelea huko JF.

Nikashangaa sana. Ananiongelea huko JF kwa lipi? Kuja kusoma nikabaki nashangaa tu.

Maana mimi sina uhusiano naye. Sijawahi kuwa na uhusiano naye. Sasa iweje awe ananizungimzia mimi?? Sipokei simu zake zipi ilhali hata namba yangu ya simu hana? Nikabaki nashangaa tu.

Baadaye nikatafutwa tena na nikapewa uhakikisho kuwa ni kweli huo uzi ulikuwa unanihusu mimi.

Supposedly, huyo mwanzisha uzi sijui uliwasiliana naye na aka confirm kwako kuwa ni kweli huo uzi wake ulikuwa umenilenga mimi.

Nikapotezea tu kwa sababu hakukuwa na ukweli wowote ule. Zaidi ya kumsaidia tu kiubinadamu, mimi sijawahi kabisa kuwa na uhusiano naye kimapenzi kama alivyoelezea yeye.

Sasa imagine mtu umemsaidia, tena siyo mara moja, halafu anakuja anakuzushia mambo ya ajabu ajabu kabisa yasiyo na mbele wa nyuma.

Nikam- cancel. Nikampuuza kama mwendawazimu.

Sasa naona hapa analalamika. Analalamika nini wakati ulimuonya kipindi kile kuwa this will not end well for her?

Dish limeyumba huyo.

Unless aje akiri hapa kuwa hakuwa ananizungumzia mimi, otherwise I stand by everything I’ve said.

I must have been living under a rock Brother!!
 
Asante dina

Halaf kuwa makini sana na Wakaka wanaokufata pm kukuambia sijui oooh wanatoa chati zako wanapeleka matokeo ndio haya watu wengine ndio walivyo kujipendekeza utadhani atapewa Visa

Marufuku kujiona mnyonge humu watakukula kichwa kuwa mbabe aggy usibabaishwe na mtu humu iwe kweli sio kweli wanyee tu
 
Pole sana Aggy,usirudishe pesa itakuwa kama umepungukiwa busara.
Nikusahuri,kama huna moyo usipende kuandika uzi za kuelezea personal life zako humu na majanga yako ya kimahaba au kifamilia;wengi hutumia kama silaha za maangamizi pindi mkipishana.
Kuomba msaada sio jambo baya pia ila story za maisha yako keep away from the public forum kama JF.Wenzio wajanja wana history za aibu kweli kweli washaomba moderators wazinyofoe waweza fanya hivyo pia,wengi wamefanya.
Pia naona una moyo mwepesi sana,gangamala utateseka sana ukiwa hivyo,dunia haina huruma mama.
Pia huyo mwanamme mmbeya hapo juu ndo amechangia sana wewe kuingia katika mtafaruku usio na sababu.Kuna mijanamme mimbeya sana sana.Wanasema wanawake wambeya ila janaume likiwa chonganishi mbeya kweli kweli huwa halishikiki.
Pole.
 
I got u ..ntazingatia hilo
Halaf kuwa makini sana na Wakaka wanaokufata pm kukuambia sijui oooh wanatoa chati zako wanapeleka matokeo ndio haya watu wengine ndio walivyo kujipendekeza utadhani atapewa Visa

Marufuku kujiona mnyonge humu watakukula kichwa kuwa mbabe aggy usibabaishwe na mtu humu iwe kweli sio kweli wanyee tu
 
Asante mkuu.mwangaza umekaribia
Nimejikuta natokwa na machozi. Mungu akufanyie muujiza Aggy. Wewe ni wa juu tu,haya unayopitia Mungu alishakuandikia kabla hata hujazaliwa,kwenye dini yangu tunaita MAKADIRI.
 
Back
Top Bottom