Naumia vile hanijibu sms zangu lakini hatujawahi kuonana

hapo inacheza Barcelona na yanga alafu umeweka BOTH TEAM WILL SCORE.
 
Dah kaz kwel hata size ya dick haujui kama inakutosha umeshaanzaa umia...
 
Lakini namuona online!!
Sio tatizo kumuona online mimi kuna jamaa yangu aliibiwa simu lakini kutwa ilikuwa online na mwisho jamaa(yule mwizi) akaanza kuomba mkopo wa hela akijifanya ndio yule jamaa yangu.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Pole naona uko desparate jamaa alikuwa anakuchezea tu ...hata mimi huwa inanitokea halafu nikipata demu mkali mtaani ..namtosa wa mtandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…