Mtu kuwa online haimaanishi kuwa anchati kuna watu wana bando za kutosha.Lakini namuona online!!
Mapenzi yana run dunia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3] [emoji3] naona umekuwa msemaji wa mtoa madaHahahaaa moyo wake tu ndo unajua anavyoteseka
Inatokea sana hiyo cha kushangaza ni kwamba siku utakayokutana naye live unaweza kujikuta unamchukia na kumkinai mpaka unajutaMapenzi haya asikwambie mtu
Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu
Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi
Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso
Jana tangu asubuhi nampigia sim, hapokei SMS zangu hajibu, WhatsApp na Jf online namuona, namtext hanijibu
Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana
Sijui kwa nini?
Ni ujinga tu kama ujinga mwingine.Fanya kui resset akil yako irud kwnye hal ya kawaida utajiona jinsi ulivyojitia ujuhaMapenzi haya asikwambie mtu
Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu
Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi
Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso
Jana tangu asubuhi nampigia sim, hapokei SMS zangu hajibu, WhatsApp na Jf online namuona, namtext hanijibu
Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana
Sijui kwa nini?
AhahahahahahahSimu ilikua mbali,nipigie[emoji41]
Mapenzi haya asikwambie mtu
Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu
Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi
Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso
Jana tangu asubuhi nampigia sim, hapokei SMS zangu hajibu, WhatsApp na Jf online namuona, namtext hanijibu
Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana
Sijui kwa nini?
Na wewe umo kwenye hilo kundi la wema mkuuPole sana atakuwa ameshakukata Mkuu, lakini usikate tamaa iwe nuru ukipata mwingine jaribu tena.
Watu wema bado wapo kwenye dunia yetu hii
Ameshapata mwingine pm amehamishia huko atentionMawazo yangu kabisa
Na wewe umo kwenye hilo kundi la wema mkuu
Dume zima utumiwe vocha na mrembo?? Utakuwa sio riziki weweKama unataka mawasiliano wakat hata vocha hujatuma ameamua kumute