Naumia vile hanijibu sms zangu lakini hatujawahi kuonana

Naumia vile hanijibu sms zangu lakini hatujawahi kuonana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sakayo njoo umchukue ndugu yako.
 
Mtu kuwa online haimaanishi kuwa anchati kuna watu wana bando za kutosha.
alafu whatsapp ni tricky sana, pili JF pia una weza ukafungua ukaacha wazi ukaendelea na yako hivyo watazamaji watakuona uk online kumbe we uko na zako.

Nakushauri ufuate ushauri wa Da'Vinci katoa ushauri wa busara sana.

kingine ujumbe nimeupata nitajitahidi 😂 😂 😂
Thanks mkuu. Akiona inafaa aufuate.

BTW kunasiku ulitaka kuninasa bila ww kujua, thanks hukunipata mm niiakupata😀😀
 
Thanks mkuu. Akiona inafaa aufuate.

BTW kunasiku ulitaka kuninasa bila ww kujua, thanks hukunipata mm niiakupata😀😀

Wanawake na akili zao anaweza kufanyia kazi ushauri wa kijinga anaopewa humu.

Wapi tena hapo mkuu nilitaka kukunasa?🙄
 
Pole sana atakuwa ameshakukata Mkuu, lakini usikate tamaa iwe nuru ukipata mwingine jaribu tena.

Watu wema bado wapo kwenye dunia yetu hii
Mkuu mpe hata matumaini ya uongo kuwa labda yupo busy.

Si kwa jibu hilo nimejikuta nacheka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Teh teh

Afadhali hiyo!

Mwingine anaweza kudhani we ndo mtu wake ilhali we mwenyewe huna habari kabisa na wala huna mpango huo.

Halafu eti mwishowe anaishia kuumia nawe unabaki unashangaa tu.
Kama ambavyo mi naumiaga juu yako....
😰
 
Pole sana ila vuta subra,then mpe nafasi msikilize kilichomsibu na pia naamini baada ya kupata taarifa yake utakuwa na majibu ni hatua gani uchukue ,,,,,
Japo najua atakuwa ana do na someone (jockey)
 
Mapenzi haya asikwambie mtu

Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu

Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi

Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso

Jana tangu asubuhi nampigia sim, hapokei SMS zangu hajibu, WhatsApp na Jf online namuona, namtext hanijibu

Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana

Sijui kwa nini?

Current situation damn n i cnt tag u.......nanukuu
 
Back
Top Bottom