Naumia vile hanijibu sms zangu lakini hatujawahi kuonana

Naumia vile hanijibu sms zangu lakini hatujawahi kuonana

Lakini namuona online!!
Mtu kuwa online haimaanishi kuwa anchati kuna watu wana bando za kutosha.
alafu whatsapp ni tricky sana, pili JF pia una weza ukafungua ukaacha wazi ukaendelea na yako hivyo watazamaji watakuona uk online kumbe we uko na zako.

Nakushauri ufuate ushauri wa Da'Vinci katoa ushauri wa busara sana.

kingine ujumbe nimeupata nitajitahidi 😂 😂 😂
 
Mapenzi haya asikwambie mtu

Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu

Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi

Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso

Jana tangu asubuhi nampigia sim, hapokei SMS zangu hajibu, WhatsApp na Jf online namuona, namtext hanijibu

Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana

Sijui kwa nini?
Inatokea sana hiyo cha kushangaza ni kwamba siku utakayokutana naye live unaweza kujikuta unamchukia na kumkinai mpaka unajuta
 
hayo mahusiano ya kimapenzi yametoka wapi wakati unasema hamjawahi onana
 
Laiti ungekutana na mimi mitandaoni usingejuta [emoji4][emoji4][emoji4] pole sana
 
Mapenzi haya asikwambie mtu

Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu

Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi

Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso

Jana tangu asubuhi nampigia sim, hapokei SMS zangu hajibu, WhatsApp na Jf online namuona, namtext hanijibu

Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana

Sijui kwa nini?
Ni ujinga tu kama ujinga mwingine.Fanya kui resset akil yako irud kwnye hal ya kawaida utajiona jinsi ulivyojitia ujuha
 
GuDume unamuumiza mwenzako huku

Huyu nae atakuja kusema wanaume hawaridhiki? Wanaume vile? Wanaume hivi??na Mwisho wa siku atajiuliza mwanaume nimedumu nae miaka mitano halafu kaoa mwingine!!!!hawaaminiki
 
Mapenzi haya asikwambie mtu

Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu

Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi

Mnaendelea kuchati na kuwasiliana na hadi kuzoeana ingawa hamjawahi kukutana uso kwa uso

Jana tangu asubuhi nampigia sim, hapokei SMS zangu hajibu, WhatsApp na Jf online namuona, namtext hanijibu

Nimejikuta naumia kama vile tumewahi kukutana

Sijui kwa nini?

Pole .ameamua kukuacha sababu kutokana na aina ya chati zako amegundua siyo taipu yake
 
😂😂😂😂😂😂

GuDume unamuumiza mwenzako huku

Huyu nae atakuja kusema wanaume hawaridhiki? Wanaume vile? Wanaume hivi??na Mwisho wa siku atajiuliza mwanaume nimedumu nae miaka mitano halafu kaoa mwingine!!!!hawaaminiki
 
Back
Top Bottom