Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Dawa tatu zinatuliza maumivu ina paracetamol aspirin na caffein Maumivu yakizidi muone daktarTahadhari naomba watu ambao hawana ushauri wasicoment.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa tatu zinatuliza maumivu ina paracetamol aspirin na caffein Maumivu yakizidi muone daktarTahadhari naomba watu ambao hawana ushauri wasicoment.
Muda mwingi unatumia kitu chenye mwanga mkali iwe simu, tv, laptop au kompyuta;punguza matumizi kwenye hizo.Kichwa na macho nikiangalia yanauma
Sahih kabisa kwa kifupi Akacheki Corona Watu wanajifanya hawaelewiKama kweli unaumwa mwili na kuchoka mara kwa mara. Baci njia rahisi ni kujifukiza mvuke. Piga nyungu iliotimia utarudi kutuhadisia.
Lakini kama umeandika uzi wako huu kwa dhihaka baci na ww mungu atakudhihaki na kukuswarifu...
Pole sana fungua pm basi Nina neno na weweSasa sijawahi kuwa na urafiki wa karibuni nipo single jomba kwa muda mrefu
Kwamba VVU ni kwanjia ya ngono tu?Sasa sijawahi kuwa na urafiki wa karibuni nipo single jomba kwa muda mrefu
Urefu wako? Uzito wako? Nitumie DMNaumwa vibaya sana kama vile nachoka choka ukipimwa huna kitu ila unazìma zima tu sana sana kichwa.
Sina kachanga sina presha ni nini?
Tahadhari naomba watu ambao hawana ushauri wasicoment.