jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Wanajamvi,
Nimeona malalamiko mengi kutoka kwa wana CCM, eti hawajasikia Lissu akizungumza atakayoyafanya! Na leo kwenye uzinduzi wa kampeni yao, mwenyekiti wao eti anajidai kufuata ushauri wa wananchama wake ambao wanaumizwa kweli kweli wakisikia Lissu akizungumzia kuumizwa kwake, na msaada alioupata kwa watanzania na duniani kote!
Yani sikufahamu kuwa Dr Mpoki ambaye alikuwa katibu mkuu wa Wizara ya Afya, alikubali apelekwe Nairobi, sasa hivi amekuwa “demoted” kwa kuonyesha ubinadamu, na sasa ni balozi.
Anachofanya Lissu, kitampa ushindi. Kama hotuba hii ya kwanza ilisikilizwa na wengi, basi hoja kuu ni haki! Watanzania wengi, wanahisi hawatendewi haki na serikali hii. Kuanzia wafanyabishara hadi watumishi wa umma.
Pia hotuba hii, imeitayarisha mioyo ya Watanzania kuanza kumsikiliza Lissu, kwani wanaona kama ndiyo sauti yao ambayo imezimwa na udikteta Unaofurahiwa na wale “minions” wenye kunufaika!
Namshauri Lissu, hata kama ikitokea wanaanza kuelezea sera, asiache hata kidogo kuzungumzia madhila yaliyompata yeye na Watanzania wengi tu. Asiache kumtaja Ben Saanane vile vile. Na baada ya hapo, aendelee kuyazungumza mengi mazuri ambayo alikuwa ameshaanza kuyazungumza. Yote ambayo ni tofauti na serikali hii.
Maoni ya Retired
Lissu yuko very focused na strategic. Wafungue mawazo/fikra watu kwanza wajitambue kuwa wanaonewa! , ni watumwa, HAKI ZAO ZA BINADAMU ZIMEKUFA etc, then baadaye tandaza sera! AU awe anaanza na sera, then dakika 20 za mwisho ni kuwafungua watu wanavyonewa, wanavyoibiwa na Jiwe, wanavyokosa haki zao etc etc
Nimeona malalamiko mengi kutoka kwa wana CCM, eti hawajasikia Lissu akizungumza atakayoyafanya! Na leo kwenye uzinduzi wa kampeni yao, mwenyekiti wao eti anajidai kufuata ushauri wa wananchama wake ambao wanaumizwa kweli kweli wakisikia Lissu akizungumzia kuumizwa kwake, na msaada alioupata kwa watanzania na duniani kote!
Yani sikufahamu kuwa Dr Mpoki ambaye alikuwa katibu mkuu wa Wizara ya Afya, alikubali apelekwe Nairobi, sasa hivi amekuwa “demoted” kwa kuonyesha ubinadamu, na sasa ni balozi.
Anachofanya Lissu, kitampa ushindi. Kama hotuba hii ya kwanza ilisikilizwa na wengi, basi hoja kuu ni haki! Watanzania wengi, wanahisi hawatendewi haki na serikali hii. Kuanzia wafanyabishara hadi watumishi wa umma.
Pia hotuba hii, imeitayarisha mioyo ya Watanzania kuanza kumsikiliza Lissu, kwani wanaona kama ndiyo sauti yao ambayo imezimwa na udikteta Unaofurahiwa na wale “minions” wenye kunufaika!
Namshauri Lissu, hata kama ikitokea wanaanza kuelezea sera, asiache hata kidogo kuzungumzia madhila yaliyompata yeye na Watanzania wengi tu. Asiache kumtaja Ben Saanane vile vile. Na baada ya hapo, aendelee kuyazungumza mengi mazuri ambayo alikuwa ameshaanza kuyazungumza. Yote ambayo ni tofauti na serikali hii.
Maoni ya Retired
Lissu yuko very focused na strategic. Wafungue mawazo/fikra watu kwanza wajitambue kuwa wanaonewa! , ni watumwa, HAKI ZAO ZA BINADAMU ZIMEKUFA etc, then baadaye tandaza sera! AU awe anaanza na sera, then dakika 20 za mwisho ni kuwafungua watu wanavyonewa, wanavyoibiwa na Jiwe, wanavyokosa haki zao etc etc