Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Wachache sana ndio watakaokuelewa,mfano mdogo mwendokasi tu wameshindwa kuuendesha kiufanisi na kila siku wanalalamika hasara ndio itakua bandari waliyoishindwa miaka yote,uendeshwaji wa ile bandari yetu ni kituko cha dunia kwa wakati tuliokua nao
Tulijaribu kubinafsisha mashirika hapo nyuma, hakuna lililofanya vizuri zaidi wajanja waliyazunguka na kuyafilsi rejea kwa Trc, atcl, tanesco
 
hizi bandari tangu Uhuru Hadi Sasa , tumezoea kusikia upigani wa kufuru unaofanywa/uliokuwa ukifanywa na ma boss plus wafanya biashara wakubwa. aise just imagine ofisa wa kawaida tu , anaweza kwa siku akatengeneza hata 10 mil per day, Sasa huyo ni mmoja , acha Sasa wale ma done , tra.

rafiki yangu mmoja , yeye Yuko madini , Sasa miaka ya 2013 ,waliwahi kutengeneza mchongo wa 20mil, ndani ya dk 45 hivi , pale pale bandarini kwa ujanja ujanja tu. kiufupi ile bandari ilikuwa ni mradi wa watu , kujipatia utajiri fast fast.

NI heri tumpe mwarabu asimamie huenda tutapata faida . Isipokuwa vifungu tatanishi vya mkataba viangaliwe kwa kina na kurekebisha .
 
Hivi uko darasa la ngapi ndugu?

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
hizi bandari tangu Uhuru Hadi Sasa , tumezoea kusikia upigani wa kufuru unaofanywa/uliokuwa ukifanywa na ma boss plus wafanya biashara wakubwa. aise just imagine ofisa wa kawaida tu , anaweza kwa siku akatengeneza hata 10 mil per day, Sasa huyo ni mmoja , acha Sasa wale ma done , tra.

rafiki yangu mmoja , yeye Yuko madini , Sasa miaka ya 2013 ,waliwahi kutengeneza mchongo wa 20mil, ndani ya dk 45 hivi , pale pale bandarini kwa ujanja ujanja tu. kiufupi ile bandari ilikuwa ni mradi wa watu , kujipatia utajiri fast fast.

NI heri tumpe mwarabu asimamie huenda tutapata faida . Isipokuwa vifungu tatanishi vya mkataba viangaliwe kwa kina na kurekebisha .
hata zenji kuna bandari, akauze kwao
 
Mkuu unaweza kuweka ushahidi kama ni uwekezaji wa miaka 100?
Hakuna mkuu ni wa milele
1687761662681.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za hovyo kabisa hizi, kwa hiyo furaha yako uwape wageni wakuendeshee mambo yako wewe uendelee na story za pwagu na pwaguzi kwenye kijiwe cha kahawa.

Kama mnataka kubinafsisha kwa nini msiwambie watanzania wenyewe waunde makampuni waiendesha, au ndo ule jenerali Ulimwengu aliuita ugenishaji.​

mkuu unafikiri kila kitu ni easy? tukubali bana jamaa wametutangulia sana
 
Back
Top Bottom