Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Sipendi ubinafsishaji wa Bandari ya Dar sababu itaondoa uwezo wa Clearing Agents ku clear mizigo kwa kodi ya chini kwa faida ya mteja haswa magari yaliyoyochakaa ambayo ni over taxed. Kwa mfumo uliopo, Clearing Agents wana nafasi kubwa ku clear mizigo kwa kodi ya chini kuliko ile ambayo TRA wangedai. Hii ni win-lose situation. Hakuna mtu mwenye akili nzuri anayetaka kulipa kodi ya TRA ambayo inaenda kununua Land Cruiser LC300 na kujenga mahekalu ya MaCCM.
Hii imekaaje ndugu? Naomba maarifa kidogo kama hutojali.
 
Huu ni ukoloni wa kidigitali/ Digital era colonialism ndio hizi hadithi wanakuja na mifumo yao ya kisasa. Huu ni ukoloni ule ule kwa mbinu za kisasa. Mifumo gani ambayo mswahili wa leo hawezi kuweka? Kuna wakati tuliaminishwa miamala ni Maximalipo tu mbona kuliwekwa mifumo mengine ya kiserikali na mambo yanaenda. Kinachotakiwa ni utashi na mitazamo ya waliopewa jukumu la kuongoza wenzao.

Binafsisheni na majeshi nayo kama mmeaamua kujitoa ufahamu kiasi hiki.
Mashairika yote yauzwe
 
Ccm mnauza bandari yetu miaka 100? Mkataba gani wa miaka 100? Kwa malengo Yapi? Miaka 100 mabadiliko yatakua makubwa sana hapa Duniani, Kwanini tunahukumu vizazi vyetu vitatu au vinne kwa tamaa za sasa?

Baada ya hapo atakuja mwingine ajifanye Mzalendo wakati alishiriki uchafu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wauze mashirika yote ya umma yanayo fanya biashara
 
Hakuna nchi ambayo imebinafsisha kila kitu mzee bandari ni sehemu nyeti sana huwezi kumpa mtu binafsi aendeshe kuna mambo mengi ya kiusalama kwetu na nchi jirani ni sawa na kuzi privatelize airports haiwezekani zitakuwa ni highways za kupitishia magendo na silaha haramu .
YAANI TUMPE MCHINA NDIO ASIMAMIE BANDARI YETU LOL!!
Acha mvua inyeshe tuone panapo vuja Hawa viumbe wamezidi tamaa
 
Tanzania nchi nzuri lakini tuna Viongozi wasiofaa Yaan sijui walipataje nafasi ?
Ee Mungu ingilia Kati utuokoe waja wako na hii dhahama
 
UBINAFSISHAJI ULIOFANYIKA ULAYA BAADA YA VITA KUU YA PILI (WW-2)
Ndg.wana JF, kwa ufupi tu, ule ubinafshaji uliofanyika kwa wazungu baada ya WW-2 ni tofauti sana na huu unaofanyika hapa kwetu TZ.
Wazungu wao waliwachukuwa WANANCHI wao/watu wao/makampuni Yao, aidha yakiwa ndani ya nchi ama nje, i e Europe ama USA, n.k. Wakapa na ruzuku kupitia mabanki yao. Hii iliwafanya waendelee kwa haraka kwani wote ni wamoja! Lakini sisi tunamchukuwa Mwaarabu aliyetufanya watumwa, ama Mzungu aliyetutwala)Mkoloni, eti atuendeshee biashara, viwanda, mashamba, bandari, viwanja vya NDEGE, machimbo ya madini mbali mbali, je ni kweli atatuendeleza?
Mie sielewi hii akili Watanganyika tumeipata wapi? Aidha, itoshe kusema tu kuwa sisi Watanganyika/Watanzania sote tumelaaniwa, tuna laana ama tumerogwa. Nani katuroga? Huenda hata aliyeturoga kafa labda! Shame on us! Hivi hata Waafrika wenzetu, majirani zetu hatuzomei na kutuonea huruma sisi? Mbona ktk mataifa ya Wazungu mmoja/nchi ikifanya vibaya wengine wanaingilia kati? Yaani kama EU/US, je kwetu mboa AU ipo kimya?
Hebu wana JF hapa tusaidiane kwa mjadala wa kina ili vizazi vijavyo vifahamu kuwa karne fulani sii wote walikuwa vilaza kama kina Chief MANGUNGA wa MSOWERO KILOSA MOROGORO. Huyo hakusoma, naye ni "CHIEF" Je hawa wetu ""CCM""si wamesoma? Tena na historia ya akina MANGUNGA, imrkuwaje?
Jadili, paza sauti na tuwashauri.
 
Serikali ilikuwa na mashirika ya usafirishaji yalikufa yenyewe Kila mkoa kulikuwa na shirika la umma kwa ajili ya usafiri, KAUMA, KAURU, KAUKA, SHIREKU, KAMATA, KWACHA, RAILWAY N.K. serikali iwe msimamizi biashara iwaachie watu binafsi.
 
UBINAFSISHAJI ULIOFANYIKA ULAYA BAADA YA VITA KUU YA PILI (WW-2)
Ndg.wana JF, kwa ufupi tu, ule ubinafshaji uliofanyika kwa wazungu baada ya WW-2 ni tofauti sana na huu unaofanyika hapa kwetu TZ.
Wazungu wao waliwachukuwa WANANCHI wao/watu wao/makampuni Yao, aidha yakiwa ndani ya nchi ama nje, i e Europe ama USA, n.k. Wakapa na ruzuku kupitia mabanki yao. Hii iliwafanya waendelee kwa haraka kwani wote ni wamoja! Lakini sisi tunamchukuwa Mwaarabu aliyetufanya watumwa, ama Mzungu aliyetutwala)Mkoloni, eti atuendeshee biashara, viwanda, mashamba, bandari, viwanja vya NDEGE, machimbo ya madini mbali mbali, je ni kweli atatuendeleza?
Mie sielewi hii akili Watanganyika tumeipata wapi? Aidha, itoshe kusema tu kuwa sisi Watanganyika/Watanzania sote tumelaaniwa, tuna laana ama tumerogwa. Nani katuroga? Huenda hata aliyeturoga kafa labda! Shame on us! Hivi hata Waafrika wenzetu, majirani zetu hatuzomei na kutuonea huruma sisi? Mbona ktk mataifa ya Wazungu mmoja/nchi ikifanya vibaya wengine wanaingilia kati? Yaani kama EU/US, je kwetu mboa AU ipo kimya?
Hebu wana JF hapa tusaidiane kwa mjadala wa kina ili vizazi vijavyo vifahamu kuwa karne fulani sii wote walikuwa vilaza kama kina Chief MANGUNGA wa MSOWERO KILOSA MOROGORO. Huyo hakusoma, naye ni "CHIEF" Je hawa wetu ""CCM""si wamesoma? Tena na historia ya akina MANGUNGA, imrkuwaje?
Jadili, paza sauti na tuwashauri.
PUMBA
 
Safi Sana mama shikilia hapo hapo ukimaliza uje taNesco. Wabongo ni watu wapumbavu wanacho jali ni wizi halafu utendaji sifui

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo tumepata Hasara ya kuwasomesha akina PROFESA LIPUMBA ?
Hivyo vyuo vikuu vinafundisha ualimu wa chekechea tu basi.
Kwani hizo fani za Lipumba hazifundishi maadili ya kazi zake hizo ?

Turudi tu msituni tukawe Manyani kama hapo awali.
 
Safi Sana mama shikilia hapo hapo ukimaliza uje taNesco. Wabongo ni watu wapumbavu wanacho jali ni wizi halafu utendaji sifui

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app

Kukabiliana na wabongo wezi imeshindikana kwa hiyo suluhisho ni kuwapa waarabu ambao sio wezi, kweliii!!!! Kwa nini wabongo wanakuwa wezi? Kuna mwenye hili jibu? Kama haliko kwa nini lisijulikane na kupatiwa ufumbuzi.

Hii ishu mimi naiona ni kama mzazi nyumbani kwake kuna chakula kingi. Ila anao watoto ambao watukutu na si waaminifu wanadokoa hicho chakula.

Kudhibiti huo udokozi anaona karaha. Hivyo anaamua jambo la kufanya ni bora mimi niwe na uhakika wa kupata chakula njaa niisikie tu huko. Baada ya kupata huo uhakika anasema sasa hiki chakula kilichopo kwa vile watoto hawa sio waaminifu basi ngoja nifungulie na mbwa nao waje kugombania na kugawana hicho chakula na watoto. Uzuri wenyewe hawa mbwa ni wale waliopata mafunzo hawawezi kuwadhuru watoto zaidi ya kula hicho chakula na watoto.
 
Kina vitu havitakiwi kabisa kuendeshwa na serikali hasa usafirishaji. Dunia ya leo hivyo vinakua chini ya sekta binafsi na serikali inabaki NA shares. Upofu wa wengi ni kuwaza kuibiwa wakati hata cha kuibiwa hakipo.
 
Back
Top Bottom