Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
ndiyo,Unajua pamoja na hivyo daktari bado anamalipo mazuri zaidi?
ni kwasababu ya kufanya kazi zaidi ya sehemu moja

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo,Unajua pamoja na hivyo daktari bado anamalipo mazuri zaidi?

Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.
Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.
Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!
View attachment 3229455
Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?
Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.
Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.
MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Lissu anaweza kukulisha wewe na familia yako, kwa posho za uwakili tu.Magufuli alikuwa mbele ya muda.
Atayeathirika ni ombaomba Tundu Lisu
Je, vipi ni sahihi kumchangia kununua gari mtu ambaye ni Wakili maarufu (sio mahiri), Mwenyekiti wa Chama Cha Upinzani na ambaye familia yake inaishi Ulaya?Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.
Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.
Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!
View attachment 3229455
Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?
Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.
Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.
MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Nani aliyakuta?Yale mabilioni yaliyokutwa kwake ndio Uzalendo ule?
Umenena ukweli mtupuMkuu kwanza hatoi misaada kwa kuipenda Africa. Bali anatoa viji misaada kuziba unyama waliofanyiwa waafrika utumwa.
Ukisikia Marekani aliendeleza kilimo,akajenga miundo mbinu kama miji,reli na barabara ni WAAFRIKA WATUMWA KUTOKA AFRIKA WALIOTUMIKA BURE KWA KARNE NA KARNE.
Sisi tuliosoma historia tunajua mbwa hao hawatupi misaada ila wananunua muda ili vizazi vipya wasahau unyama tuliofanyiwa.
Mtoa hoja namheshimu sana ila kwa hili ametanguliza ushabiki.
Miaka ya sitini yawezekana na sasa kulikuwa wanasheria nguli wa Kiafrika walikuwa wakipanga kesi ya kuitaka Marekani,Uingereza,Baadhi ya nchi Tajiri za Arabuni, Spain,Ubelgigi,France,Holland,Ureno,Germany, zilipe fidia ya unyama waliofanyiwa waafrika utumwa,ukoloni na wizi wa mali zao.
Eti mzungu kiazi anakusomesha uchumi na kukutia kasumba kwanini hu maskini ila hakwambii kuwa ana matani na matani ya dhahabu aliyopora Africa, ambayo uchumi wake ukiyumba kidogo anatoa vinoo vya dhahabu kidogo anauza kukabili tatizo.
Kakata misaada kote sio Africa tu.Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.
Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.
Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!
View attachment 3229455
Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?
Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.
Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.
MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Naunga mkono hoja, ktk tembetembea yangu kuna nchi nilifika, mangali mengi niliyokutana nayo yenye chapa ya USAID ni magali yenye gharama kubwa sana. Nikaona watu wanainjoi sana na kutapanya pesa za misaadaBaada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.
Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.
Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!
View attachment 3229455
Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?
Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.
Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.
MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Naunga mkono hoja, ktk tembetembea yangu kuna nchi nilifika, mangali mengi niliyokutana nayo yenye chapa ya USAID ni magali yenye gharama kubwa sana. Nikaona watu wanainjoi sana na kutapanya pesa za misaadaBaada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.
Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.
Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!
View attachment 3229455
Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?
Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.
Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.
MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Kiongozi wa Third World country anaishi maisha ya kifahari kumzidi kiongozi wa first world country hakika nchi zetu zimekosa vipaumbeleBaada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.
Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.
Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!
View attachment 3229455
Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?
Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.
Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.
MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Mabilioni mangapi?Yale mabilioni yaliyokutwa kwake ndio Uzalendo ule?
Trump alichelewa sana kuchukua huu uamuzi.Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.
Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.
Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!
View attachment 3229455
Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?
Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.
Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.
MUNGU WABARIKI WAZUNGU
📌📌🐼🐼Infact,
Nchi nyingi za kiafrica zimeupokea uamuzi huo wa marekani kwa dhati na kwa mikono miwili, kwani ni hiyari yake kutoa au kutotoa misaada kwa waaFrica.
Hata hivyo,
misaada yenyewe iliambatana na nongwa nyingi sana, lakini pia ililenga kuifanya marekani kama ni watu wema sana, kumbe ni makatili na waovu watupu, lakini pia misaada yao ililenga tu kuzituhumu nchi za Africa kwa rushwa na ufisadi kitu ambacho si kweli, na ufisadi wa misaada yao ulifanywa na wao wenyewe.
Africa inajitosheleza kwa kila kitu, na Africa haijawahi kuilazimisha Marekani kutoa misaada popote.
Anaejiskia kutoa misaada popote ni hiyari yake kufanya hivyo au vinginevyo, haipo nchi inayo exist kwa misaada ya marekani Africa 🐒
Walikuwa wanaitumia vibaya sana hiyo Misaada kwa kufanya Matumizi ya anasa, kufanya kufuru, ufujaji wa Fedha hizo, walikuwa wanaishi maisha ya gharama kubwa sana kuliko hata watoa Misaada wenyewe. All in all, imewalemaza kiakili kiasi kwamba hawawezi kabisa kujitambua na kujitegemea wao wenyeweMimi nasherehekea afrika kunyimwa misaada
Labda hakupata VISA?Matusi yako wapi hapo? Mimi siyo nyumbu wa kurusharusha matusi ovyo.
(Wewe ulikacha maandamano)
Ww unajitambua lakini braza mbona uko hivo?Walikuwa wanaitumia vibaya sana hiyo Misaada kwa kufanya Matumizi ya anasa, kufanya kufuru, ufujaji wa Fedha hizo, walikuwa wanaishi maisha ya gharama kubwa sana kuliko hata watoa Misaada wenyewe. All in all, imewalemaza kiakili kiasi kwamba hawawezi kabisa kujitambua na kujitegemea wao wenyewe
Niko vipi?Ww unajitambua lakini braza mbona uko hivo?