Naunga mkono uamuzi wa Donald Trump kuondoa misaada kwa nchi za Afrika

Naunga mkono uamuzi wa Donald Trump kuondoa misaada kwa nchi za Afrika

Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.

Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.

Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!

View attachment 3229455

Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?

Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.

Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.

MUNGU WABARIKI WAZUNGU

Trump anafanya vyema, hii itasaidia sana kuwafanya waAfrika wengi(hususani Watu weusi) kuanza kuwa na akili nzuri ya kuweza kujitegemea wao wenyewe.
Hata Watawala waliopo watakuwa na Heshima na nidhamu ya hali ya juu kabisa katika Matumizi ya Fedha za Kodi za Wananchi.
Siyo siri hata kidogo,Watawala karibia wote kabisa wa nchi za Afrika hawana kabisa nidhamu nzuri ya hali ya juu katika Matumizi ya Fedha za Kodi za Wananchi waliopo katika nchi zao. Watawala wengi sana ni Wezi, Mafisadi, Wafujaji Sana wa Fedha za Kodi, n.k.
Tazama msafara huu wa Kiongozi huyu wa nchi fulani hapa Afrika kisha jiulize:- Je, ni gharama kubwa kiasi gani ilitumika kwenye msafara huu wa anasa? Je, kuna ULAZIMA wowote ule wa kuwa na misafafara kama hii kwenye nchi hiyo ambayo Bajeti yake ya kila Mwaka hutegemea Misaada kutoka Marekani na washirika wake? Je, Wananchi wa kawaida waliopo katika nchi hiyo wanaweza kupata faida gani hasa kutokana na misafafara yenye misururu mirefu ya magari kama huu?

Tafakari, Chukua Hatua!
 

Attachments

  • 5771391-6b7300c48c43013b94b420cc6e416c60.mp4
    8.3 MB
Aliyeturoga alisha kufa.... Sasa hivi maisha ya uchawa na kuuza utu kwa kujipendekeza ndio imekuwa fashion. Akili zimedumaa kabisa.... Hata aibu hatuoni
 
Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.

Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.

Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!

View attachment 3229455

Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?

Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.

Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Je, vipi ni sahihi kumchangia kununua gari mtu ambaye ni Wakili maarufu (sio mahiri), Mwenyekiti wa Chama Cha Upinzani na ambaye familia yake inaishi Ulaya?
 
Mkuu kwanza hatoi misaada kwa kuipenda Africa. Bali anatoa viji misaada kuziba unyama waliofanyiwa waafrika utumwa.
Ukisikia Marekani aliendeleza kilimo,akajenga miundo mbinu kama miji,reli na barabara ni WAAFRIKA WATUMWA KUTOKA AFRIKA WALIOTUMIKA BURE KWA KARNE NA KARNE.
Sisi tuliosoma historia tunajua mbwa hao hawatupi misaada ila wananunua muda ili vizazi vipya wasahau unyama tuliofanyiwa.
Mtoa hoja namheshimu sana ila kwa hili ametanguliza ushabiki.
Miaka ya sitini yawezekana na sasa kulikuwa wanasheria nguli wa Kiafrika walikuwa wakipanga kesi ya kuitaka Marekani,Uingereza,Baadhi ya nchi Tajiri za Arabuni, Spain,Ubelgigi,France,Holland,Ureno,Germany, zilipe fidia ya unyama waliofanyiwa waafrika utumwa,ukoloni na wizi wa mali zao.
Eti mzungu kiazi anakusomesha uchumi na kukutia kasumba kwanini hu maskini ila hakwambii kuwa ana matani na matani ya dhahabu aliyopora Africa, ambayo uchumi wake ukiyumba kidogo anatoa vinoo vya dhahabu kidogo anauza kukabili tatizo.
Umenena ukweli mtupu
 
Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.

Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.

Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!

View attachment 3229455

Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?

Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.

Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Kakata misaada kote sio Africa tu.
 
Naunga m
Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.

Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.

Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!

View attachment 3229455

Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?

Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.

Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Naunga mkono hoja, ktk tembetembea yangu kuna nchi nilifika, mangali mengi niliyokutana nayo yenye chapa ya USAID ni magali yenye gharama kubwa sana. Nikaona watu wanainjoi sana na kutapanya pesa za misaada
 
Naunga m
Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.

Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.

Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!

View attachment 3229455

Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?

Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.

Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Naunga mkono hoja, ktk tembetembea yangu kuna nchi nilifika, mangali mengi niliyokutana nayo yenye chapa ya USAID ni magali yenye gharama kubwa sana. Nikaona watu wanainjoi sana na kutapanya pesa za misaada
 
Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.

Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.

Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!

View attachment 3229455

Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?

Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.

Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Kiongozi wa Third World country anaishi maisha ya kifahari kumzidi kiongozi wa first world country hakika nchi zetu zimekosa vipaumbele
 
Pesa zingeenda kwenye maeneo sahihi Kuna vilio vingi vingezikwa miaka zaidi ya 45 iliyopita.
 
Baada ya Uchunguzi wangu wa kina nimeamua kwa dhati kabisa kuunga Mkono na Kupongeza Uamuzi wa Serikali ya Marekani kuondoa misaada yote kwa Nchi za kiafrika.

Hii ni kwa sababu misaada hiyo haikustahili kupewa Nchi hizo, kwa vile zinao uwezo wa kujihudumia zenyewe.

Kwa Mfano, Inawezekanaje kuipa msaada wa matundu ya vyoo Nchi ambayo Mawaziri wake wananunuliwa gari za LC300? unawezaje kusaidia Chanjo ya Polio Nchi ambayo Chama cha siasa kinanunua Mabasi zaidi ya 200 na Bodaboda zisizo na idadi kwa kisingizio cha kufanyia kampeni, Wakati inafahamika kwamba Wanaiba kura na Uchaguzi wote kwa Ujumla? Kwanza Wazungu walichelewa Mno kuchukua uamuzi huu Muruwa!

View attachment 3229455

Inawezekanaje kusaidia Nchi ambazo Wake ama Waume wa viongozi Wanalipwa mishahara mizito hata kama hawafanyi chochote?

Kwa kufupisha, Siungi Mkono watu kufa kwa kukosa ARV za Bure, lakini ni Aibu kuchimbiwa vyoo vya shule na Masoko huku Viongozi wanaokufa wanafumwa wamelundika Malundo ya Hela kwenye vyumba vyao.

Uamuzi huu uwe Fundisho kwa Wananchi Masikini waliochagua kuwa Machawa ili watupiwe Makombo.

MUNGU WABARIKI WAZUNGU
Trump alichelewa sana kuchukua huu uamuzi.
 
Infact,
Nchi nyingi za kiafrica zimeupokea uamuzi huo wa marekani kwa dhati na kwa mikono miwili, kwani ni hiyari yake kutoa au kutotoa misaada kwa waaFrica.

Hata hivyo,
misaada yenyewe iliambatana na nongwa nyingi sana, lakini pia ililenga kuifanya marekani kama ni watu wema sana, kumbe ni makatili na waovu watupu, lakini pia misaada yao ililenga tu kuzituhumu nchi za Africa kwa rushwa na ufisadi kitu ambacho si kweli, na ufisadi wa misaada yao ulifanywa na wao wenyewe.

Africa inajitosheleza kwa kila kitu, na Africa haijawahi kuilazimisha Marekani kutoa misaada popote.
Anaejiskia kutoa misaada popote ni hiyari yake kufanya hivyo au vinginevyo, haipo nchi inayo exist kwa misaada ya marekani Africa 🐒
📌📌🐼🐼

kama team Lissu tulikuwa makini sana na wapi tunataka kuipeleka nchi hii pamoja na kubadilisha uwanja wa Siasa.

Miaka 20 na hakuna la maana Mh. FAM amefanya.
Amepwaya, na nashauri hata ule ujumbe wa kudumu usitishwe mara moja. Hastahili heshima hiyo wakati ameshusha Heshima ya Chama.

Kuhusu wazungu:

Kama makutano ya Mbowe na Wazungu, kabla ya chaguzi za hivi karibuni ndio yangekuwa ni kura, tusingekuwa hapa tulipo yani kupata 0.003 za kura zote ni aibu sana sio kwa chama bali hata cc Wanachama wake.

Wazungu sio watu wa kuwaamini hata kidogo, ndio watoa rushwa namba moja duniani, ndio makatili namba moja duniani, ndio wezi wa Rasilimali za Africa Duniani na hakuna atakaye weza kubisha. Mbowe aliwaamini hawa, ona wapi walipomfikisha?

Kuhusu mleta mada

Huyu bwana nimekuwa nikimsoma kwa mda sasa, sijawahi kuona hata siku moja akisema, akiomba Waafrica wapewe baraka sio ivo tu hata Watanzania. Yeye ni Wazungu tu. Halafu anajibaraguza kama Mtanzania na Mwafrika. anajibaraguza kuwa ni mcha Mungu wakati anaoutaka yy na kwa kusudi ya kutupumbaza.Utupishe na cc CHADEMA hatuhitaji mchango wako. You are a persona non grata.
take note>

MUNGU HADHIHAKIWI hivyo.
 
Mimi nasherehekea afrika kunyimwa misaada
Walikuwa wanaitumia vibaya sana hiyo Misaada kwa kufanya Matumizi ya anasa, kufanya kufuru, ufujaji wa Fedha hizo, walikuwa wanaishi maisha ya gharama kubwa sana kuliko hata watoa Misaada wenyewe. All in all, imewalemaza kiakili kiasi kwamba hawawezi kabisa kujitambua na kujitegemea wao wenyewe
 
Walikuwa wanaitumia vibaya sana hiyo Misaada kwa kufanya Matumizi ya anasa, kufanya kufuru, ufujaji wa Fedha hizo, walikuwa wanaishi maisha ya gharama kubwa sana kuliko hata watoa Misaada wenyewe. All in all, imewalemaza kiakili kiasi kwamba hawawezi kabisa kujitambua na kujitegemea wao wenyewe
Ww unajitambua lakini braza mbona uko hivo?
 
Back
Top Bottom