Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 1,638
- 1,961
Trump amesema wizi, ukiritimba, rushwa ufujaji wa fedha na matumizi mabaya yalitokea Marekani.Walikuwa wanaitumia vibaya sana hiyo Misaada kwa kufanya Matumizi ya anasa, kufanya kufuru, ufujaji wa Fedha
Ww unatuchanganya hapa unadai anasa.