Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!

Kwa vile mambo ya ulinzi wa viongozi wakuu/Rais ni classified. Ila angekuja mtaalamu hapa akaelezea hayo mambo mpingao kujengwa huo uwanja mngejiona wajinga.

Wakati wa Nyerere kulikuwa na kambi forty ikoma.

Hapo msoga hatujui gharama ya kile kijiji. Lakini mbele kidogo kuna majengo ya kambi.

Huko lushoto twaambiwa kuna kasiri la kufa mtu.

Tatizo la chato ni kwamba mambo haya ya kujemgwa uwanja wa ndege, gharama za ujenzi na mkandarasi zime/ame julikana hatukuzoea kuyajua na kuwekwa wazi kwa kiasi hiki.

Viongozi waliopita mambo haya ya ujenzi ya kifanywa na jeshi hata poropoganda ilikuwa ni vigumu hata bajeti zake ni siri sirini.
 
Haya ni magofu ya uliokuwa uwanja wa ndege alioujenga Dikteta Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga kijijini kwake kama Magufuli anavyojenga Chato International Airport nyumbani kwake bila kuzingatia uchumi wa eneo husika. Wasiwasi wetu usije ukabaki magofu kama haya akaitia hasara serikali ya kulinda magofu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24] [emoji106] [emoji106]
Mkuu Paschal na wewe siku zingine sijui huwa unatumia kinywaji gani jioni? Mwanza kwenyewe hawana uwanja wa ndege, Mkulu akimaliza muda wake nani atakuwa anaenda Chattle?
 
Nitake radhi upesi kwa kuniita Bwege Nazi kabla sijakuchafulia hapo kibaruani kwako.

Kubali kuwa umetoka kapa kumuelewa paskali.

Halafu huwa napenda kweli ' Kutishiwa ' kwasababu hata Mimi mwenyewe pia ni Mtu wa ' matukio ' vile vile halafu ni ' Mafia ' niliyetukuka hivyo narudia tena kusema kwamba Wewe ni ' Bwege Nazi ' na ' Guluguja '. Kazi Kwako!
 
Huyu ndiye paschal mayala ukitumia akili za Lumumba hutamuelewa Ila ukitafakari utamuelewa
 
we nae acha kupuyanga foti ikoma na butiama unajua kuna umbali gani?

kwa kukusaidia tuu hua kunajengwa kota vyumba kadhaa kwa ajili ya walinzi na office zao

wewe ndo ulkua hujui gharama so usichukulie wote

kujenga kwa kutumia askar ni kwa ajili ya kukeep ramani ya jengo privately
 
Mkuu Pascal una akili ila mwoga mwoga

Kwani katika Historia yako uliyoisoma / kuhadithiwa au katika Kumbukumbu zako zote hata zile ulizosimuliwa tu na Babu au Bibi yako ulishawahi kusikia kuna ' Shujaa ' yoyote katokea Usukumani? Tuanzie hapo Kwanza Mkuu. Naturally Wasukuma ni waoga sana ila Ubabe wao hupenda sana kufanyia Mifugo yao na pale wanapokuwa wanakula Ugali wao Saa Nne ( 4 ) asubuhi.
 
Akili za Lumumba izi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Huyu bwana atacreate artificial mbuga ya wanyama huko Chato na kuhamisha simba, tembo, swala, nyati, chui, nyumbu etc kutoka huko zilipo. Chato mtaenda tu. Mkisusa nyie, hata wale wanaume wa Canada watakwenda. Yohanne Baptiste Yohanne sio wa spotispoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…