KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 187
Mbona unaandika na kujikana wewe mwenyewe, unasema huamini kama kwli Wakenya ndio wamemchagua Bw.Uhuru Kenyata hapo hapo unasema Wakenya mtashangilia leo ila kazi mnayo, sasa kama hawakumchagua kwa nini tena washangilie?
Heshima mbele,
nimeshangazwa sana na maamuzi wakenya waliyochukua. Naomba kuungana na jamii za kimataifa hususani marekani ambayo tayari imetanabaisha kutoiunga mkono serikali ambayo kenyata atachukua nafasi kuiongoza.
Nawaza huyu bwana atainua vp uchumi,atafanya biashara na nani angali wamangaribi wameshaanza kumwekea ngumu.
Sina uhakika asilimia mia moja kama haya maamuzi kweli yametoka mioyoni mwa wakenya. Hata kama siasa ya kenya ni ya ukabila lakini ukabila gani unaoamini udhaifu wa mtu katika kupewa nafasi nzito kama hiyo?
Je ikitokea tuhuma zinazowakabili zikawafunga je nchi itaongozwa na nani?
Wakenya mtashangilia leo ila kazi mnayo,time will tell.
Hivi Tiba allegations za ICC za Uhuru na Mathaura ni za uongo? unajua mikutano mingine ilifanyika ikulu? nini ilikuwa conspiracy ya Uhuru kutogombea uraisi na Kibaki that year? and why now Kibaki akiwa anatoka?Wild Fauna, fungua akili yako angalia mbali. Aliyepashwa kupelekwa ICC zaidi ni Raila akifuatiwa na Kibaki, hawa ndio kugombea kwao madaraka kulipeleka taifa kwenye machafuko. Uhuru alijitokeza kuzuia watu wa kabila lake wasimalizwe baada ya serikali kushindwa kuwapa protection. Jumuia ya kimaifa na hasa wazungu wanavyoliangalia hili suala la ICC ni tofauti ya Wakenya wanavyoliangalia, la sivyo Uhuru asingepigiwa kura zaidi ya millioni 6 na Wakenya.
I might be wrong, but this is my personal stand!!!
Tiba
Ni kweli kama ataapishwa kuwa raisi wa kenya,ni dhahiri obama nina mashaka kama atahudhuria sherehe za kuapishwa kwake,ICC pia wanaweza kuwatia hatiani jambo litakalo sababisha wasisafiri nje ya kenya yangu macho.Heshima mbele,
nimeshangazwa sana na maamuzi wakenya waliyochukua. Naomba kuungana na jamii za kimataifa hususani marekani ambayo tayari imetanabaisha kutoiunga mkono serikali ambayo kenyata atachukua nafasi kuiongoza.
Nawaza huyu bwana atainua vp uchumi,atafanya biashara na nani angali wamangaribi wameshaanza kumwekea ngumu.
Sina uhakika asilimia mia moja kama haya maamuzi kweli yametoka mioyoni mwa wakenya. Hata kama siasa ya kenya ni ya ukabila lakini ukabila gani unaoamini udhaifu wa mtu katika kupewa nafasi nzito kama hiyo?
Je ikitokea tuhuma zinazowakabili zikawafunga je nchi itaongozwa na nani?
Wakenya mtashangilia leo ila kazi mnayo,time will tell.
Hivi Tiba allegations za ICC za Uhuru na Mathaura ni za uongo? unajua mikutano mingine ilifanyika ikulu? nini ilikuwa conspiracy ya Uhuru kutogombea uraisi na Kibaki that year? and why now Kibaki akiwa anatoka?
na Kuna Comment ambayo Marehemu Kivuita alisema , kwamba hajui matokeo hayo ya 2007 atayatangazia kwenye Naval Ship? Maana waliokuwa wayaone mambo yana elekea waliyaona. na ukienda hatua mbele utajiuliza kwanini wamefanyamabadiliko ya katiba na judicial reform and appointments? ni kwa sababu kulikuwa na ulakini umbao una mfavour aliye madarakani.
Na Juzi juzi tu hapa una kumbuka kwamba CJ wao alizuiwa kusafiri kuja Bongo na order ya Head of Civil Service? halafu akapigiwa simu ya kuombwa radhi na mkuu wa ujasusi wao? ambao wote ni system moja?
Wild Fauna, fungua akili yako angalia mbali. Aliyepashwa kupelekwa ICC zaidi ni Raila akifuatiwa na Kibaki, hawa ndio kugombea kwao madaraka kulipeleka taifa kwenye machafuko. Uhuru alijitokeza kuzuia watu wa kabila lake wasimalizwe baada ya serikali kushindwa kuwapa protection. Jumuia ya kimaifa na hasa wazungu wanavyoliangalia hili suala la ICC ni tofauti ya Wakenya wanavyoliangalia, la sivyo Uhuru asingepigiwa kura zaidi ya millioni 6 na Wakenya.
I might be wrong, but this is my personal stand!!!
Tiba
Hongera Mtukufu Rais Uhuru Jomo Kenyata kuwa Rais wa Jamhuri ya Kenya. Usitishwe na viji maneno vya jumuia ya Kimataifa.Jiran zako Uganda na Tz zinapendwa sana na Hizo jumuia but mpaka leo wanazungumzia ' kuhakikisha hakuna ataekufa na njaa' badala ya Maendeleo!
Kiranga acha dharau....je. kama huyu ndiye kiongozi mtarajiwa Benki ya Dunia au ua shirika la fedha duaniani au pengine mkuu wa chombo chochote chenye mashiko duniani kinachoweza kuvuruga mipango ya Kenya?Vifurambwete wengine hata mpambe wa mpambe wa Uhuru hawamjui, lakini kujitutumua ushuzi tu.
Wewe ni nani mpaka Uhuru ahitaji ushirikiano wako? .....
Jumuia ya kimataifa na hasa wazungu wanavyoliangalia hili suala la ICC ni tofauti ya Wakenya wanavyoliangalia, la sivyo Uhuru asingepigiwa kura zaidi ya millioni 6 na Wakenya.
Tiba
Heshima mbele,
nimeshangazwa sana na maamuzi wakenya waliyochukua. Naomba kuungana na jamii za kimataifa hususani marekani ambayo tayari imetanabaisha kutoiunga mkono serikali ambayo kenyata atachukua nafasi kuiongoza.
Nawaza huyu bwana atainua vp uchumi,atafanya biashara na nani angali wamangaribi wameshaanza kumwekea ngumu.
Sina uhakika asilimia mia moja kama haya maamuzi kweli yametoka mioyoni mwa wakenya. Hata kama siasa ya kenya ni ya ukabila lakini ukabila gani unaoamini udhaifu wa mtu katika kupewa nafasi nzito kama hiyo?
Je ikitokea tuhuma zinazowakabili zikawafunga je nchi itaongozwa na nani?
Wakenya mtashangilia leo ila kazi mnayo,time will tell.
Mimi sijaelewa ulichotaka kuwakilisha,ingawaje ninaona kama umewakilisha kitu cha muhimu sana....Ningefurahi kama ungeweza kutoa tafsiri ya terms ulizotumia ambazo wewe unazijua kabisa kwamba wengine wengi humu hatujui nini maana yake...hegemony,nihilist na neno zingine zote hizo.Asante sana kwa kunielewaVifurambwete wengine hata mpambe wa mpambe wa Uhuru hawamjui, lakini kujitutumua ushuzi tu.
Wewe ni nani mpaka Uhuru ahitaji ushirikiano wako? Wamarekani, Waingereza na wenzao wanajipanga waanzaje kumtongoza upya awape ushirikiano katika efforts zao za usalama horn of Africa na katika biashara, wewe nani mpaka ahitaji ushirikiano wako?
Granted, the game is rigged. Kenya is all but a fiefdom. But what is the significant difference between Raila and Uhuru? They are both oligarchs. Politicians by pedigree, plagued by Plutarchian plunder and nagged by nihilistic nepotism through hedonistic harpooning for hegemony and a dual dogged determinism.
It's not like Raila angekuwa revolutionary. Tumemuona alivyokuwa PM.
I am not Kenyan so whoever Kenyans choose I am fine. Even as I would like to see what Shaggy call "some lickle ghetto youth with some bright ideas" in "It Burn Me" to ascend to the helm (notice, not the throne).
Don't blame the player, fix the game.
Kiranga acha dharau....je. kama huyu ndiye kiongozi mtarajiwa Benki ya Dunia au ua shirika la fedha duaniani au pengine mkuu wa chombo chochote chenye mashiko duniani kinachoweza kuvuruga mipango ya Kenya?
Kuwa makini na kauli zako.