Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kuungana na jamii za kimataifa hususani Marekani ambayo tayari imetanabaisha kutoiunga mkono serikali ambayo Kenyatta atachukua nafasi kuiongoza.
Hongera Mtukufu Rais Uhuru Jomo Kenyata kuwa Rais wa Jamhuri ya Kenya. Usitishwe na viji maneno vya jumuia ya Kimataifa.Jiran zako Uganda na Tz zinapendwa sana na Hizo jumuia but mpaka leo wanazungumzia ' kuhakikisha hakuna ataekufa na njaa' badala ya Maendeleo!
Hiv baada ya kubainika kuna mahackers na Uhuru akiwa 43% vipi kura zilirudiwa kutoka 0% kuja mpaka hii 50% ama ilikuwaje
Uganda na Tanzania tatizo ni ufisadi na Rushwa, hasa hasa Tanzania ndiyo tumezidi sasa sijui maendeleo yatatoka wapi hata kama hao wamagharibi wanatusapoti.
Big up Mkuu!! Umempa za uso huyu kifulambute!!!Vifurambwete wengine hata mpambe wa mpambe wa Uhuru hawamjui, lakini kujitutumua ushuzi tu.
Wewe ni nani mpaka Uhuru ahitaji ushirikiano wako? Wamarekani, Waingereza na wenzao wanajipanga waanzaje kumtongoza upya awape ushirikiano katika efforts zao za usalama horn of Africa na katika biashara, wewe nani mpaka ahitaji ushirikiano wako?
Granted, the game is rigged. Kenya is all but a fiefdom. But what is the significant difference between Raila and Uhuru? They are both oligarchs. Politicians by pedigree, plagued by Plutarchian plunder and nagged by nihilistic nepotism through hedonistic harpooning for hegemony and a dual dogged determinism.
It's not like Raila angekuwa revolutionary. Tumemuona alivyokuwa PM.
I am not Kenyan so whoever Kenyans choose I am fine. Even as I would like to see what Shaggy call "some lickle ghetto youth with some bright ideas" in "It Burn Me" to ascend to the helm (notice, not the throne).
Don't blame the player, fix the game.
hivi unadhan tatizo la rushwa na ufisadi kenya halipo? hivi unalikumbuka lile sakata la grand regency hotel?
jiran zako Uganda na Tz zinapendwa sana na Hizo jumuia but mpaka leo wanazungumzia ' kuhakikisha hakuna ataekufa na njaa' badala ya Maendeleo!
We ndiyo wale wanao amin kila asemacho mzungu ndiyo hicho cha kufuata kisa eti ana akili nyingi kushinda wewe.
Ukolon ushaisha na wanao chagua Rais si hao wa ulaya ni wananch wa Kenya na wao wamemuona anafaa ndiyo maana wakamchagua.
We endelea na umagharibi wako.
nilikuwa nakujibu hapo kwenye blue ulipokuwa unashangaa kama mkuu wa kaya kwanini Tanzania ni Maskini wakati tuna rasilimali lukuki, sasa naona unakuja na hoja nyingine kabisaa.
Walitaka wapigane ili wapate mwanya wa kufanya vitu vyao. Hongera waKenya:yo:kwahiyo hoja hapa ni ipi???kama hayajatoka mioyoni mwa wakenya yametoka wapi??fikiria mbali...wakenya washaamua...waacheni