Naungana na jamii ya kimataifa kutompa ushirikiano mheshimiwa Uhuru Kenyatta

Naungana na jamii ya kimataifa kutompa ushirikiano mheshimiwa Uhuru Kenyatta

Usamehewe kwa kuwa hujui usemalo. Ukipata nafasi ya kuzungumza na Wakikuyu ambao walikuwa wanachinjwa kama kuku kwenye zile vurugu za baada ya uchaguzi wa 2007, watakwambia kuwa Uhuru ni Mungu wao wa pili kwani bila kuingilia kati, wangeendelea kuchinjwa zaidi. Kwa wakikuyu Uhuru ni kama Musa aliyetumwa na Mungu kuwakomboa kutoka kwenye upanga wa Wajaluo. Siasa za Kenya ni ngumu kidogo.

Tiba

Acha kuongea kama unaongea kwa kutumia masaburi,ndio maana nawambia Watanzania ongelea upuuzi wa nchi yako acha kuongea usichokijua kwa kujidai unajua wakati haujui lolote,ni mjaluo gani alihusika katika mauaji yaliyotokea Kenya? Mauaji yalitokea kwa kiasi kikubwa mikoa ya Central Kenya walichinjana wenyewe unasemaje kwamba walikuwa ni wajaluo ndio walikuwa wakiwachinja wengine? Acha uzezeta kuongea usichokijua bro uongo hauna mshahara,kati ya watu sijui saba waliopelekwa ICC nani kati yao ni mjaluo pale?
Uongo wa vijiweni ndio mnaleta humu jf acheni ndio maana mnaandika viingereza vibovu kwenye tweete kwa kujidai wajuaji waachieni wakenya mambo yao na nyie bakini na ya tanzania
Uliongea na wakikuyu gani wakakueleza haya uliyoyaandika humu? Acha kutoka povu mdomoni kuandika stori za vijiweni
 
haya yote yanajitokeza ni kutokana na CHADEMA kuumbuka kwa kumsupport ODINGA. Ndiyo maana inaanzishwa mijadala ambayo haina tija kwetu ili mradi tu wanaonyesha hisia zao za kumpinga Kenyatta

Masaburi wako kazini,haya amechaguliwa Kenyata nenda kachukue posho na njaa yako
 
Raila ni kibaraka wa wazungu ndio mana wakenya wamechimbia chini, akafie huko
 
Masaburi wako kazini,haya amechaguliwa Kenyata nenda kachukue posho na njaa yako

ndio kawaida yenu mkiishiwa hoja mnaanza kutoa matusi, kumbuka ile thred kuwa raila ni chadema na kenyatta ni ccm.usijivishe utaahira
 
Heshima mbele,

Nimeshangazwa sana na maamuzi Wakenya waliyochukua, Naomba kuungana na jamii za kimataifa hususani Marekani ambayo tayari imetanabaisha kutoiunga mkono serikali ambayo Kenyatta atachukua nafasi kuiongoza.

Nawaza huyu bwana atainua vp uchumi,atafanya biashara na nani angali wamagharibi wameshaanza kumwekea ngumu.Sina uhakika asilimia mia moja kama haya maamuzi kweli yametoka mioyoni mwa Wakenya.

Hata kama siasa ya Kenya ni ya ukabila lakini ukabila gani unaoamini udhaifu wa mtu katika kupewa nafasi nzito kama hiyo?

Je ikitokea tuhuma zinazowakabili zikawafunga je nchi itaongozwa na nani?

Wakenya mtashangilia leo ila kazi mnayo,time will tell.

Kwahiyo wewe unaijali sana Kenya kuliko wakenya wenyewe?
Try to be consistent with Democracy, you don't have to be part of that vicious western agenda
What if Kenyans had smelled a rat and went on to elect Kenyatta?
If USA refuses to cooperate with Kenyatta, China will fill that void (if any)
USA is fairly irrelevant in this new era, in fact their financial leverage is very limited now
 
mleta mada acha viroba kunywa banana.Marekani ndio inatuhitaji sisi. Kuna wachina so America watajileta wenyewe. Tuache ukibaraka wa Wazungu.
 
Watanzania bwana, who and what are u kutoa au kutotoa ushirikiano? Maneno maneno maneno!
 
UHURU KENYATTA na ODINGA wote kwa pamoja hawakutakiwa kabisa kushiriki ktk uchaguzi huu wa KENYA maana wote ni wahusika wakubwa wa Ukabila nchini Kenya. Na nitasema wazi ya kwamba uchaguzi umekwisha lakini subirini mtakuja yaona yanayofuata wala sii muda mrefu, sura halisi za hawa watu zitajitokeza..

Mh!hili nalo neno!
 
Wakuu,
sio kama Nashabikia hili, naandika haya Kwa Majonzi sana Maana ni kitu ambacho kinaweza kutokea Bongo.
Uchaguzi Kenya na ushindi wa Uhuru,achilia mbali kelele za kumiliki ardhi kuubwa,kesi ya Ocampo,still kakomaa,hapa Kwetu Ndugu Edo nae akijipanaga si anaweza akachukua shavu,achilia mbali kelele za Richmnd etc etc etc...?????

Eeeh Mwenyezi Mungu Epushia Mbali, Astaghfirullah -
 
nimejaribu kuangalia kama wewe ni mkenya au mmtanzania, hujajitambulisha vizuri. Hivi wewe kwa mawazo yako, ni yupi kati yako wewe na wakenya wanaojua walioanzisha vita ya 2007? bila shaka wakenya wanawajua zaidi kuliko wamagharibi wanavyowajua wanzilishi wa vurugu. katika uchaguzi ule, Kibaki na Odinga ndio waliokuwa wanachuana kwa karibu sana, na kwa kiasi kikubwa, Odinga aliporwa ushindi, na Kibaki alipora na kujiapisha ndani ya muda mfupi tu tena chini ya ulinzi mkali. Kwa hiyo, mwanzilishi wa vurugu kwa mawazo yangu, ni aliyepora ushindi yaani Kibaki na aliyeporwa ushindi Odinga, aliyeamua kuhamasisha wafuasi wake kuupigania. Lakini tume ya Annan, haikuwashukia si KIBAKI wala ODINGA, bali waliamua kuwachagulia vioongozi wakenya kwa kuhakikisha UHURU hagombei msimu ujao. Lakini wameshindwa kwani wakenya wameonesha kumkubali. Wewe inakuuma nini? Kwa wale wanaosema CCM imechakachua matokeo huko kenya, ikumbukwe kuwa, mawaziri wa J.K walionekana kwenda kumnadi RAILA, hakuna aliyeonekana kumnadi UHURU
 
Wild fauna umeongea point..uchakachuzi umefanywa kwa utaalam wa hali ya juu

Hivi inawezekanaje Makamu wa rais na Waziri Mkuu wakachakachuliwa na mawaziri wastaafu?
Africa is fool of miracles!
 
Af nyie watanzania vipi bhana?mbna nyie mmlimchagua rais asie jua A wala B?wakenya washachagua?hv hyo Icc ni kwa ajili ya african leaders?ushabiki wa waafrica wachache ndo unaowapa wazugu kiburi waendele kutunyanyasa,mbna kino hugo chavez,kina iran wapo na marekan haiwataka?kila nchi ina mipaka yake na maamuzi pia,mi nadhn municipal law inabdi, zieshmiwe!leo wamemkataa uhuru kesho watakuja watamkataa dr slaa!!waafrica inabidi tueshimiwe na jumuia za kimataifa.
 
Kabla hujafikiria kutomuunga mkono Kenyatta ambao najua hata Kenyatta haihitaji kuunga mkono nawe kwasababu Wakenya 6M washamuunga mkono,fikiria kwanza kusimamia maendeleo ya nchini kwako.
 
Acha kuongea kama unaongea kwa kutumia masaburi,ndio maana nawambia Watanzania ongelea upuuzi wa nchi yako acha kuongea usichokijua kwa kujidai unajua wakati haujui lolote,ni mjaluo gani alihusika katika mauaji yaliyotokea Kenya? Mauaji yalitokea kwa kiasi kikubwa mikoa ya Central Kenya walichinjana wenyewe unasemaje kwamba walikuwa ni wajaluo ndio walikuwa wakiwachinja wengine? Acha uzezeta kuongea usichokijua bro uongo hauna mshahara,kati ya watu sijui saba waliopelekwa ICC nani kati yao ni mjaluo pale?
Uongo wa vijiweni ndio mnaleta humu jf acheni ndio maana mnaandika viingereza vibovu kwenye tweete kwa kujidai wajuaji waachieni wakenya mambo yao na nyie bakini na ya tanzania
Uliongea na wakikuyu gani wakakueleza haya uliyoyaandika humu? Acha kutoka povu mdomoni kuandika stori za vijiweni

Sitapenda kuendeleza hii ligi kwani nimegundua au wewe sio saizi yangu kubishana nawe ama wewe ni mjaluo uliyehusika kwenye mauaji ya wakenya wenzio kwa kisingizio cha kuibiwa kura!!!!

Tiba
 
Af nyie watanzania vipi bhana?mbna nyie mmlimchagua rais asie jua A wala B?wakenya washachagua?hv hyo Icc ni kwa ajili ya african leaders?ushabiki wa waafrica wachache ndo unaowapa wazugu kiburi waendele kutunyanyasa,mbna kino hugo chavez,kina iran wapo na marekan haiwataka?kila nchi ina mipaka yake na maamuzi pia,mi nadhn municipal law inabdi, zieshmiwe!leo wamemkataa uhuru kesho watakuja watamkataa dr slaa!!waafrica inabidi tueshimiwe na jumuia za kimataifa.

Nani huyo asiyejua A wala B?

Mimi nakubaliana na wakenya kwani Uhuru kwenye kampeni was smart than Raila, hakuwahi kuuma maneno
 
Japokua mimi ni si Mkenya ila niungane na Wakenya kwa kuamua kutumia haki yao ya msingi kumchagua mtu waliyempenda bila kufuata influence za Magharibi...kwa uelewa wangu mdogo wa siasa za Kenya hususan yale machafuko ya baada ya uchaguzi wa 2007 uliomwingiza Kibaki madarakani,Raila na Kibaki ndio walikua key players kwa hisani ya bwana Samwel Kivuitu aliyechezesha ngoma ambayo alishindwa kuhimili mirindimo yake,Mungu ampe hukumu ya haki kwa kua amekwisha kutangulia mbele ya hadi since February..

Yumkini Raila ndiye aliyeshinda uchaguzi ule wa mwaka 2007 si jambo la msingi nalosemea hapa ila reaction yake baada ya tume kumtangaza Mr Kibaki kua mshindi kwenye uchaguzi ule ilichochea ama kuhamasisha kwa namna moja ama nyingine wafuasi wake (Raila) of whom wengi walikua Waluo (im stand to be corrected) kuinuka juu ya wenzao Wakikuyu kwa kuwapiga na kuwaua ikifatana na uharibifu wa mali na makazi!

Wakati yote haya yakitokea si Raila,wala kibaki waliokemea 'kwa kumaanisha' ilihali mamia ya Wakikuyu/Wakalenjin wakiendelea kuteketea.Hapa ndipo ushiriki wa Kibaki unapokuja..

Kosa alilolifanya Uhuru ambalo limesababisha awe victim hadi leo ni nguvu kubwa aliyotumia kulipiza/kuzuia ndugu zake 'Wakikuyu' wasiendelee kuketeketezwa. Yatosha kusema tu kua kwa Jamii ya Wakenya esp. Wakikuyu/Waluo ambao hawakua upande wowote wanamwona Uhuru km Hero kwao ilihali jamii ya kimataifa ikimwona mhalifu wa kivita.

Watu wa kupeleka ICC ni pamoja Samwel Kivuitu (japo ameshafariki) Raila, na Mwai Kibaki! Wamarekani diplomatically wako sawa na Mataifa mengine na si haki kuwaamulia wenye taifa lao kwamba ni nani anafaa kuwa kiongozi. Tumeona sehemu nyingi duniani ambazo Mmarekani hana interest nazo akiachia zijiendeshe tu shaghalabaghala wakati huo huo akiwa mstari wa mbele kuamua masuala nyeti ya nchi zenye kumnufaisha kwa namna moja ama nyingine...

Viva Kenyatta,Kenya ipo mikononi mwako,kaa chini na jopo la wataalamu wa nchi yako wakushauri namna ya kujenga taifa lako na kuondoa hii mifarakano na mipasuko ya Kikabila!

Mkuu, nakushukuru sana kwa kuuona huo ukweli. Kwenye mchango wangu hapa, nimeyasema hayo hayo lakini kuna Mjaluo mmoja hapa, ametaka kunikata kichwa na mimi kwa kutumia key board yake!!!!

Tiba
 
Chifu Tiba naomba nikuulize swali moja tu: hivi ni nani aliyefungua kesi pale the Hague na Uhuru na Ruto kuwa miongoni mwa washtakiwa?

Ndugu yangu NZI, mimi sio mtu sahihi kutoa jibu la swali lako. Lakini kwa uelewa wangu mdogo, kesi iliyofunguliwa dhidi ya Uhuruna Ruto na wengine, ilikuwa ni kujaribu tu kutuliza munkari na wale wapenzi wa Uhuru na Kenyatta wanasema hiyo kesi ilipewa msukumo na Raila ili kuwaua wapinzani wake kisiasa. Wengine wanasema lile ombi la Kenya la kuendesha kesi za waliohusika yenyewe kama nchi badala ya kuzipelekaThe Hague lilihujumiwa na Raila huyo huyo. Huyu Raila hata baadhi ya Wajaluo wenzake hawamwamini hata kidogo, kwani he is too ambitious na yuko tayari kufanya lolote ilimradi atimize ndoto zake. Lakini ndoto ya Urais naona sasa imefikia kikomo.

Tiba
 
Back
Top Bottom