SOLD: Nauza Bata Bukini wakubwa. Nipo Makongo Juu

Bukini kama bukini wakiwa ndani ya copa cabana beach

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Mleta Mada Kasema Hao Wa Sebia
Haaa Haa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekumbuka kuna jamaa walituma kondoo wadogo kutoka UK na kuwatangaza kwenye mitandao kama mbwa wale wanaitwa poodle [emoji251]
Walinunuliwa sana Japan

Ila mama mmoja mjapan ndio akawashtua wenzie na kusema Mbona habweki na hali chakula cha mbwa?
 
Bata bukini wa mchongo[emoji28][emoji28][emoji28]..wewe mleta uzi utakua mfanyakazi wa Qnet sio bure.

#MaendeleoHayanaChama
 
Uliuziwa laki mbili kila mmoja ukaambiwa ni Bukini siyo?
Haya bana naona umewawekea na swimming pool
[emoji28][emoji28][emoji28] akajengewa na swimming pool kabisa..sio siri jamaa aliiingizwa mkingi.

Anataka kutufanya jf maboya wenzie.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…