Nauza eneo la chips na mgahawa kwa bei nafuu kabisa

Gerald1

Senior Member
Joined
Jan 17, 2022
Posts
107
Reaction score
147
Eneo lipo Kinyerezi mwisho mkabara na IKUPA SUPERMARKET Stendi ya zamani ni hatua kumi za miguu kuikuta Barabara kuu ya kutoka Mbezi kwenda mjini, pia eneo lina banda lenye kabati mbili zenye ukubwa wa futi tatu kwa marefu na futi mbili kwa mapana. Ukubwa wa eneo ni futi 10 kwa futi 7 na nusu karibuni.

Mawasiliano yangu napatikana +255788317776

Naitwa GYGA au GERALD ANTONY LYAPEGA karibu sana ofa yangu ni Million 1 na laki nane 1,800,000

Pia eneo lina mpangaji wa mgahawa analipa laki moja 100,000 kwa mwezi ila yeye hana uwezo wa kulinunua, hvy ukilinunua hili eneo utapewa na huyo mpangaji na utajua cha kufanya mana tayar ww ndio utakuwa mmiliki.

 
Teja kiasi cha pesa acha kuweka mawasiliano wewe ni dalali?
 
Unagawa kwa bei nafuu??

Kiswahili ndio kigumu kiasi hiki mkuu?
 
Hizo ni Mita tatu kwa mita mbili...2.3M
 
Lina viti au mabenchi?
 
post kama hii ikiambatana na picha itapendeza sana itapunguza maswali mengi
 
Hati halali ipo?
 
weka picha
 
Mnaotaka picha naomba mnipe muda kdg, nitawatumia picha muda sio mrefu
 
Eneo n lizuri kwa ajili ya chips na lina vifaa vyote kwa ajili ya chips, pia unaweza kulifanya kwa ajili ya mgahawa na lina vifaa vya kufanyia kazi yako. Na liko karibu na stand hvy watu n wengi mno.

Kabati
Meza
Mabenchi
Vyombo
Jiko

Karibuni sana wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…