Gerald1
Senior Member
- Jan 17, 2022
- 107
- 147
Eneo lipo Kinyerezi mwisho mkabara na IKUPA SUPERMARKET Stendi ya zamani ni hatua kumi za miguu kuikuta Barabara kuu ya kutoka Mbezi kwenda mjini, pia eneo lina banda lenye kabati mbili zenye ukubwa wa futi tatu kwa marefu na futi mbili kwa mapana. Ukubwa wa eneo ni futi 10 kwa futi 7 na nusu karibuni.
Mawasiliano yangu napatikana +255788317776
Naitwa GYGA au GERALD ANTONY LYAPEGA karibu sana ofa yangu ni Million 1 na laki nane 1,800,000
Pia eneo lina mpangaji wa mgahawa analipa laki moja 100,000 kwa mwezi ila yeye hana uwezo wa kulinunua, hvy ukilinunua hili eneo utapewa na huyo mpangaji na utajua cha kufanya mana tayar ww ndio utakuwa mmiliki.
Mawasiliano yangu napatikana +255788317776
Naitwa GYGA au GERALD ANTONY LYAPEGA karibu sana ofa yangu ni Million 1 na laki nane 1,800,000
Pia eneo lina mpangaji wa mgahawa analipa laki moja 100,000 kwa mwezi ila yeye hana uwezo wa kulinunua, hvy ukilinunua hili eneo utapewa na huyo mpangaji na utajua cha kufanya mana tayar ww ndio utakuwa mmiliki.