Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, gari Bado ipoNichek WhatsApp 0684448888 kama ipo bado
Maswali ndio kitu gani mkuu?Madalali wa magari wangejifunza kuongea ukweli kama huyu jama Tanzania tungefika mimi nimependa jinsi ulivo kua muazi.....ila suluhjsha ya hizo gari ndogo ni kununua mswaki utategeneza mpaka uchoke hatuna mafundi wa wakika hapa.
Sawa tuwasilianeNiuzie seat cover
Nakutumia msg whtsapoSawa tuwasiliane
SawaNakutumia msg whtsapo
Kwann usitafute kama 1M uipatie matibabu hiyo gari.Ni kweli unachoongea ila ninauhitaji wa pesa ndiyo maana naiuza, vinginevyo ningekuwa nimeshaitengeneza, binafsi napenda magari ya Nissan, kwangu naona ni imara, japo baadhi ya vifaa vyake ni gharama lakini ukinunua vinakaa kwa mda mrefu, kampuni nyingine vifaa vyake vipo chini ila ukija kujumlisha gharama za leo kimehalibika umetengeneza, ni sawa tu na kumiliki Nissan, BMW au Mercedes Benz.
Sina pesa ndugu, ningekuwa nisha itengeneza.Kwann usitafute kama 1M uipatie matibabu hiyo gari.
Kwa nini unaleta masihala kwenye biashara?Njoo uchukue laki 5 chap
Nimesema nina laki 5, biashara ni kupatana.Kwa nini unaleta masihala kwenye biashara?
Kitu gani kinakwambia hii gari ni be hiyo?
Nashukuru ila Hapana, Bei Mil 2.5Nimesema nina laki 5, biashara ni kupatana.