Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahii kabisa , Nissan hazihitaji ubahili na janja janja kwny service.Nissah shida sio ufundi, ni gharama ya vifaa na vimiminika vyake.
Hii Gari ikishaanza kusumbua (hasa Nissan) Ni Bora inunuliwe na fundi Gari mwnyw uzoefu na stress za magari.Hii gari ukipata fundi mzuri inakuwa safi kabisa, nina uhakika wewe utakuwa muhanga wa hawa mafundi wa hovyo kama wa Ilala
PoaNashukuru ila Hapana, Bei Mil 2.5
Uwajui wabongoWewe ni muungwana sana umeeleza uhalisia ulivyo
hahahahahaaaUwajui wabongo
Ni namba gani? Countrywide njoo uchukue gariNashukuru ila Hapana, Bei Mil 2.5
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo class mate wako atakucheki tu kukusalimia hana ishu.....
Nunua chombo hiyo pale UD-Main camp si kuna parking za kutosha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeona muujiza, 2.5m haiwezi kukushinda 😀financial services njoo tuvunje kibubu huku kuna muujiza wa kibeba mwili![]()
Namba: CQSNi namba gani? Countrywide njoo uchukue gari
shusha bei mzigo ni wa kwenda kabisa huuKaribuni
Ndugu hiyo bei ni ya kawaidi kabisa, Gari bado nzuri, hizo changamoto nilizo ziweka hapo kama ningelikuwa na fedha haiwezi kuzidi Mil. 1.5 kisha nikaamuwa kuuza tena si chini ya Mil. 7 au 8, au nikaifanya kuwa uba. Gari ipo vizuri na haili mafuta kabisa, yaani issue ya kuchemsha tu ndiyo imenifanya niuze kwa sababu sina pesa ya kulekebisha.shusha bei mzigo ni wa kwenda kabisa huu
Chukua chombo hiyo usogeze-sogeze siku wakati ukipambania gar ya ndoto yako[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona muujiza, 2.5m haiwezi kukushinda [emoji3]