Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #41
Nliwahi sikia eti dhahabu ukiziacha tu hapo huwa zinadisappear, sijui ukweli wa hili jambo....sijui sababu za kupotea.Huwa najiuliza mno huyo mtu alipita nazo vipi maana nilikuwa naishi peke yangu na sehemu ninayoweka hata angeingia mtu sio rahisi kuchukua.....cheni pia ya dhahabu ilipotea ndani humo humo. Sijui kuna kitu nyuma yake au vipi.
😁Mwambie sonara ulinunua laki 6.......nusu bei yke laki 3
Nlikuomba mtaji ukaniringia, hadi niuze na shumizi zangu.....😹Njoo nikununulie wewe mwenyewe, natamani kila siku uendelee kupendeza
Nenda magomeni mapipa kwa nchimbi utapata hiyo pesaSonara anataka kwa nusu bei nlionunulia, hapana hiyo bei....heri niendelee kupendeza nazo.
Hayo maneno kwenye paragraph ya kwanza hapo sio poa, unaharibu biashara ya watuKweli mke wangu nimnunulie hereni used! Inaleta ukakasi
Mungu ni mwema utapata wasamaria wema wa kuzinunua
Tulia acha tamaaa we umepewa zawadiMatajiri hamjambo......
Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru...
Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao.
Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi.
Risiti nlionunulia ipoView attachment 3123639
View attachment 3123640
Sawa nimetulia broTulia acha tamaaa we umepewa zawadi
Hamna wala sio nzitoHope ushauza, sorry Sasa hiyo gram sio nzito sana kufanya masikio kuvutika Kwa chini?
Samahani lkn
Nauza chupa ya chai mubaba.....Kufulia sio poa aisee,soon utaanza kuuza hadi sahani na vikombe vya kabatini kwako.
Nakuona wapi Eva? Pokea simu
Nilichogundua wewe siwezi kukupata Wala hauwezi kuwa mke wangu kumbe una hela Sana .Matajiri hamjambo......
Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru...
Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao.
Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi.
Risiti nlionunulia ipoView attachment 3123639
View attachment 3123640
Update:
Shida ishaisha.....hereni zimerudi sikioni. Nikifulia tena ntarudi kuuza na vingine 😹
Sio kweli hiyo kauli walikua wanaambiwa Babu zetu ili wasifiche Gold wampelekee muhindi kuuza..walitumia mbinu nyingi sanaNliwahi sikia eti dhahabu ukiziacha tu hapo huwa zinadisappear, sijui ukweli wa hili jambo....sijui sababu za kupotea.
Nipe kwanza gawio la brac ndo uniite dada, usinfanye mi mtoto....😹Nilichogundua wewe siwezi kukupata Wala hauwezi kuwa mke wangu kumbe una hela Sana .
Toka leo nitakuita dada naomba uniite Kaka .
Kwaheri dada Evelyn Salt
Upo wapi kwani?😀😀Mwalimu haujapata deal la kuandikisha uchaguziMatajiri hamjambo......
Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru...
Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao.
Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi.
Risiti nlionunulia ipoView attachment 3123639
View attachment 3123640
Update:
Shida ishaisha.....hereni zimerudi sikioni. Nikifulia tena ntarudi kuuza na vingine 😹