Nauza hereni za dhahabu....

Nauza hereni za dhahabu....

Huwa najiuliza mno huyo mtu alipita nazo vipi maana nilikuwa naishi peke yangu na sehemu ninayoweka hata angeingia mtu sio rahisi kuchukua.....cheni pia ya dhahabu ilipotea ndani humo humo. Sijui kuna kitu nyuma yake au vipi.
Nliwahi sikia eti dhahabu ukiziacha tu hapo huwa zinadisappear, sijui ukweli wa hili jambo....sijui sababu za kupotea.
 
Hope ushauza, sorry Sasa hiyo gram sio nzito sana kufanya masikio kuvutika Kwa chini?
Samahani lkn
 
Matajiri hamjambo......

Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru...

Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao.

Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi.

Risiti nlionunulia ipoView attachment 3123639
View attachment 3123640
Tulia acha tamaaa we umepewa zawadi
 
Matajiri hamjambo......

Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru...

Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao.

Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi.

Risiti nlionunulia ipoView attachment 3123639
View attachment 3123640



Update:

Shida ishaisha.....hereni zimerudi sikioni. Nikifulia tena ntarudi kuuza na vingine 😹
Nilichogundua wewe siwezi kukupata Wala hauwezi kuwa mke wangu kumbe una hela Sana .

Toka leo nitakuita dada naomba uniite Kaka .
Kwaheri dada Evelyn Salt
 
M
Matajiri hamjambo......

Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru...

Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao.

Serious buyer njoo pm, unipe location nkuletee, Dar tu....mikoani situmi.

Risiti nlionunulia ipoView attachment 3123639
View attachment 3123640



Update:

Shida ishaisha.....hereni zimerudi sikioni. Nikifulia tena ntarudi kuuza na vingine 😹
Upo wapi kwani?😀😀Mwalimu haujapata deal la kuandikisha uchaguzi
 
Back
Top Bottom