Nauza hii phone 13 Pro

Nauza hii phone 13 Pro

Ndio ananunua na deni japokua sio lazima kulipa

Anaweza akatumia kwa kutumia Gevey card(Inapachikwa kwenye line yako) na inafanya kazi kama kawaida
Kuset hiyo Gevey card sio issue ndogo na ikitokea umelose network, inabidi kufwata thw whole process to secure network.

Ataenunua hiyo cm n kujilipua tuu not otherwise
 
Mkuu, tafadhali endelea kulipa deni lako kwa hiyo simu na sio kutaka kumbambikia mtu mwingine deni. Kwani uliichukulia nini kwa mkopo ikiwa hauko tayari kuilipia deni? Kama vipi ipark, yaani itelekeze.
 
Mkuu, tafadhali endelea kulipa deni lako kwa hiyo simu na sio kutaka kumbambikia mtu mwingine deni. Kwani uliichukulia nini kwa mkopo ikiwa hauko tayari kuilipia deni? Kama vipi ipark, yaani itelekeze.
simu sio ya mkopo,ni bora uulize kuliko kukurupukia kitu usichokielewa
 
Mkuu, tafadhali endelea kulipa deni lako kwa hiyo simu na sio kutaka kumbambikia mtu mwingine deni. Kwani uliichukulia nini kwa mkopo ikiwa hauko tayari kuilipia deni? Kama vipi ipark, yaani itelekeze.
Simu sio ya mkopo mkuu na habambikiwi mtu deni hapa
 
Kuset hiyo Gevey card sio issue ndogo na ikitokea umelose network, inabidi kufwata thw whole process to secure network.

Ataenunua hiyo cm n kujilipua tuu not otherwise
Gevey ipo kwenye hii simu na inapiga kazi kama kawa,karibu mkuu
 
Apple Iphone 13 pro 128 GB
•Face id✅
•Battery health 81
•Ina network lock(unaweza tumia •Gevey sim card au ukalipia deni ikawa unlocked)

Simu Imetumika wiki moja tu tangu itoke nje ya nchi

Price 950,000/=

Kimara Dar es salaam
0757187238View attachment 3210754
Lipa hilo deni ndio uuze mkuu.
 
Back
Top Bottom