mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kwani ole sabaya hajakununulia [emoji23][emoji23]
We naweeeee
Yeye Amenunua vieite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ole sabaya hajakununulia [emoji23][emoji23]
Chukua hii ongezea na laki 5Ikifika 7 uje nimnunulie mama watoto wangu
Chukua hii ongezea na laki 5View attachment 1789286
Ni sahihi DPZ ina miaka 2 sasa . Mimi ninayo gari yenye DPZ ilitolewa February 2019.Nimeona wadau wamesema ni bei sahihi.
Mimi nilipiga hesabu za kwamba usajili wa DP ni wa almost 2 years, so discount ya 10% kwa mwaka ingekula walau 2.2m (on straight-line basis) kutoka bei ya kuifikisha hapa nchini which is around 11m.
Hivyo, 8.5 - 9m ni bei nzuri kwa kuanzia.
Zinauzwa madukanMkuu samahani nje ya mada. Hizo seat covers zinapatikana bongo au zilikuja na gari?
kinachoangaliwa sio miaka iliyokaa Nchini bali ilikuwa Nchini ikifanya niniNi sahihi DPZ ina miaka 2 sasa . Mimi ninayo gari yenye DPZ ilitolewa February 2019.
Haina maslahi kakaIpo milion nane chap chap tufanye biashara