Nauza Jaba la kuhifadhia maji

Nimetuma pm mkuu
 
mambo yamekuwa magumu kweli sasa si uwauzie mtaani kwenu jamani mtu utamuuzia 4000 halafu asafirishe tena khaaaaaa
Yaani nipite nyumba zote kutangaza hadi nipate anayehitaji ili wote wajue pia kumbuka naweza kosa mteja.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]
Humu ndani ni shida Aseeh!
Unaweza kuingia uko so serious ukaishia kufa mbavu tu!
Halafu kuna mtu kauliza kuasi cha mwisho kabisa [emoji1]
Hhahahahaha... Mwingine anataka eti apunguziwe had 2,000[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…