Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu Mungu akusimamie katika hiloNina kijana yupo elimu ya Juu kozi za afya. huyo ndiye napambana kwaajili yake.
Na ndio maana nimeshusha bei Mno.
Njia nyingine za kuleta kipato toshelevu zimefeli kabisa.
Sinoni wavuta bangeKiwanja ni changu mwenyewe na kina ukubwa wa 520 SQM.
Kipo Engosheraton kata ya Sinoni. Jirani kabisa na Shule ya Sekondari ya Misheni ya Edmund Rice.
Kiwanja kimezungukwa na Huduma zote za kijamii.
Wasiliana nami kwa 0744718928. karibuni sana.
Kama weweSinoni wavuta bange
Kiwanja kipo mjini kabisaa na bei ni rafiki naamini utauza ili utatue shida iliyopo mbele yako kwa Mpambanaji utapata tuu kiwanja kingine maana hiyo hela unafanyia kazi ya baraka kwa kijana wako...nawapa taarifa wanunuzi wa viwanja waliopo mjini kati nadhani watakucheki...Binafsi Niikinunua Mwaka 2010 kwa Tsh. 10.3 ML kwa ndugu mmoja ambaye ni Mmiliki wa Shule Hapa Arusha.
Nimetangaza kukiuza kwa haraka ili kutatua changamoto kwa ML 9 & 8 wala sikupata Mnunuzi.
Sasa nimekubali kukiuza kwa hasara zaidi ili nimudu gharama za Elimu za kijana wangu na mengineyo madogomadogo.
Nimeshusha bei Mno kwakuwa Njia nyingine za kuleta kipato toshelevu kwa hayo zimefeli kabisa.
Asante kwa Dua Yako pia.
Ni kweli Mkuu, ardhi ni Mali sana. Engo palikuwa pahoyo sana siku za nyuma. ila kwasasa ndio sehemu Nzuri na tulivu ambayo haina hekaheka za makelele kama mitaa mingine Hivyo unaweza kupumzika na kushusha stress chini ya kijani kibichi.Shule yangu hiyo.. miaka hiyo nasoma mika ka 17 iliyopita kulikuwa ni vichaka watu ardhi kama hiyo walikuwa wananua kwa laki tano...
Mvua ikinyesha udongo mfinyanzi hakupitiki..
Hakika Ardhi ni mali....
Hichi kiwanja hata milioni 9 unauza kabisa tafuta wastaafu kadiri uwezavyo tena hapo hapo Arusha au Moshi ni dakika za kuhesabu , kama upo interested niambie nikutafutie mteja within a short time tumeuza.
Hiyo ni Direction tu Kiongozi wangu.🤣🤣jirani na shule lol hakifai kwa makazi
Hakuna utulivu
Labda uweke frem za biashara
Tafadhari Nisaidie Mkuu, Nipo radhi kabisa kwa hilo.Hichi kiwanja hata milioni 9 unauza kabisa tafuta wastaafu kadiri uwezavyo tena hapo hapo Arusha au Moshi ni dakika za kuhesabu , kama upo interested niambie nikutafutie mteja within a short time tumeuza.
Mkuu nashukuru kwa ushauri huo, lakini kama utakuwa unamfahamu mmoja wa Madalali Arusha Naomba Uni connect nae Please.Sawa sawa kila lenye heri ila kwa mitaa ya Engosengiu ungetafuta madalali ...
Asante kwa ujumbe wako mkuu, na Nikushukuru kwa ushirikiano wako pia. Naamini Ukiwajuza watanitafuta na kuja kukikagua na hatimaye yupo mmoja atanunua.Kiwanja kipo mjini kabisaa na bei ni rafiki naamini utauza ili utatue shida iliyopo mbele yako kwa Mpambanaji utapata tuu kiwanja kingine maana hiyo hela unafanyia kazi ya baraka kwa kijana wako...nawapa taarifa wanunuzi wa viwanja waliopo mjini kati nadhani watakucheki...