The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Nami nawaza sanaBado kuna watu wananunua brevis?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nami nawaza sanaBado kuna watu wananunua brevis?
Wanunuzi wa brevis hakunaBrevis kwa bei hyo utazeeka nayo.
0768160670 tuwasiliane hpo mkuuDYN milioni 14.9~15mil.... maongezi shilingi ngapi?
Kuna jamaa ana 10...anatafuta crown sio mimi nikuunganishe naye aje na fundi. Anatoa box 5 ya maji.
watu wanalamba premio tu na foresterWanunuzi wa brevis hakuna
Ndiy maana yakewatu wanalamba premio tu na forester
Mbona bei inaonekana ya kawaida labda tatizo gharama za uendeshaji
Inalamba km ngapi Kwa Lita ?Jini hilo
full account?Huenda anamaanisha Full A/C
Full air conditions (A/C)full account?
Shetani la mafuta hilo,bei iko fresh tuMbona bei inaonekana ya kawaida labda tatizo gharama za uendeshaji
Mafundi wamekosa mbinu za kudhibiti ubugiaji wa wese?Shetani la mafuta hilo,bei iko fresh tu
Kwanini mkuuUkiuza hata milioni 6 itakuwa ni zari
Kwani wa huko fb wao ndio mazwazaa na maduduna?Biashara ishaharibika tayar... nenda facebook tu au Instagram... Huku wajuaji wengi
Huko at least hapa great thinker wengiKwani wa huko fb wao ndio mazwazaa na maduduna?