Kilanga komo
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 337
- 290
- Thread starter
-
- #101
HahahahaKila mwezi paka 10 kila mmoja 3000
3000*10= 30000
Kwa mwaka paka 120 * 3000= 360000
Ukitoa garama zako tuseme za chakula na dawa 60000 unabaki na laki 3 pesa nzuri kabisa unaipata bila jasho.
Mjomba uko vizuri, Unawapa majibu kama umeme wa luku.Kwa kadiri wanavyouliza.Ndio
Hahahah π€£ naishi nao tu kama inavyotakiwa kuwaπMjomba uko vizuri, Unawapa majibu kama umeme wa luku.Kwa kadiri wanavyouliza.
Wanaitaga vidonge.Hahahah π€£ naishi nao tu kama inavyotakiwa kuwaπ
Mkuu weweπππ nisivyopenda paka uwiiUkitaka wengine nione nakupa bure tu, wanatusumbuwa huku mitaani, ukila Tonge la ugali anameza yeye.
iivo yaaniWanaitaga vidonge.
Ha ha haiivo yaani
π€£π€£π€£Ha ha ha
Hawa wa kwangu hawana shidaMkuu weweπππ nisivyopenda paka uwii
Unao wengi tu? Mimi hata kumfuga naogopaHawa wa kwangu hawana shida
Ndio ninao wengi, aaah pole kwa kuogopaUnao wengi tu? Mimi hata kumfuga naogopa
Hili sio shume kweli?Nauza paka (Felis catus) elfu tatu 3,000/= njoo umchukue
Location: Kigamboni
Piga: 0759448927
View attachment 2712656
Hapana mkuuHili sio shume kweli?
Huyu wa kizungu broad tailHili sio shume kweli?
π€£π€£π€£π€£π€£Kume kucha ππ€£
Watu hawajaamka badoKume kucha ππ€£
Paka huwa haishi kwa mselaMasihara kando
Kwa level yangu ya maisha siwezi ishi na mnyama wa kufugwa. Gharama za madawa, chanjo na chakula siwezi kumudu.
Hata nikitoa elfu tatu nikalazimisha kuishi naye hapa kwenye chumba cha kupanga ni nitamtesa tu. Kuna siku nitaondoka sirudi hadi wiki moja ipite na hata nakua sijui kama huko ninapoenda nitaondokea huko huko.