Nauza paka wa nyumbani

Kila mwezi paka 10 kila mmoja 3000
3000*10= 30000
Kwa mwaka paka 120 * 3000= 360000
Ukitoa garama zako tuseme za chakula na dawa 60000 unabaki na laki 3 pesa nzuri kabisa unaipata bila jasho.
Hahahaha
 
Edit: anaejua mlimani city wanapouza pets / paka wakizungu connection please au sehemu nyengine yoyote
 
Paka huwa haishi kwa msela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…