zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
- Thread starter
- #21
Sawa Mkuu nitaweka ,network ikikaa vizuriPicha tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuu nitaweka ,network ikikaa vizuriPicha tafadhali
Anabisha tu bure, nilinunua hko bungu sehem wanaita mitobongo hekar mbili kwa laki sita, ni kipindi kabla ya mauaji mauaji kuanzaInaonekana haujui bei za Mashamba kulingana na sehemu husika,mbona mengi tu pengine wanauza eka moja laki mbili na nusu mpaka laki mbili ,sijui unachobishana ni nini haswa ,ebu uliza uliza kama una watu kule alafu ulete mrejesho
Nenda Simanjiro, maeneo ya NabereraArusha nani anauza? Nina shida na eka 10 za pamoja
Weka pichaNAUZA SHAMBA LANGU LA EKARI 20 LIPO BUNGU KIBITI NALIUZA KWA BEI YA CHINI KABISA KWANI NINA SHIDA. BEI NI SHILLING MILIONI NNE TU CASH. KATIKA SHAMBA KUNA NANASI KATKA EKARI TANO NA VIBANDA VYA KUKU VIWILI...BANDA LA MFANYAKAZI CHUMBA NA SEBULE....ENEO LILILOBAKI LIPO WAZI HUWA NALIMA UFUTA NA MUHOGO.
SHAMBA LIPO BUNGU ,KIBITI PWANI. NAKUBALI MALIPO HATA KWA AWAMU MBILI.
KWA MUITAJI TUWASILIANE PM
Sawa sawaWeka hata picha ya eneo bado, huko bungu kuna mabonde sana na vilima
Ni kweli Mkuu ,ni bora aulize tuAnabisha tu bure, nilinunua hko bungu sehem wanaita mitobongo hekar mbili kwa laki sita, ni kipindi kabla ya mauaji mauaji kuanza
Unayo hati miliki mkononi ya hilo shamba?
Ipo ya serikali za mtaaUnayo hati miliki mkononi ya hilo shamba?
Sawa sawaWeka hata picha ya eneo mkuu , huko bungu kuna mabonde sana na vilima
Ufafanuzi hapo unahitajika kidogo ipo ya serikali ya mitaa una maana hati miliki ya kimila au unamaana gani?Ipo ya serikali za mtaa
Hati miliki ya kijiji ambayo ndo ya serikali ya kijiji husikaUfafanuzi hapo unahitajika kidogo ipo ya serikali ya mitaa una maana hati miliki ya kimila au unamaana gani?
ardhi ni mali kiongozi .nipo radhi NIKUKOPESHE PESA UNAYOHITAJI LAKINI USIUZE ARDHI YAKO.Hati miliki ya kijiji ambayo ndo ya serikali ya kijiji husika