Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wachangiaji wengi hawana rejea za maeneo mbalimbali ya nchi, rejea yao ni bei za Dar.Inaonekana haujui bei za Mashamba kulingana na sehemu husika,mbona mengi tu pengine wanauza eka moja laki mbili na nusu mpaka laki mbili ,sijui unachobishana ni nini haswa ,ebu uliza uliza kama una watu kule alafu ulete mrejesho
Kama ni shida kwa nini usikate sehemu itakayokidhi mahitaji yako ndio uuze? kama eka tatu, nne tano n.k.Ndo maana imeandikwa apo ni shida za haraka tu
naitaji kuuza lote Mkuu,nipate fedha ninayoitajiKama ni shida kwa nini usikate sehemu itakayokidhi mahitaji yako ndio uuze? kama eka tatu, nne tano n.k.
Ni kweli kabisa mkuuTatizo wachangiaji wengi hawana rejea za maeneo mbalimbali ya nchi, rejea yao ni bei za Dar.
Yote yapo ,hakuna tatizo lolote kabisa,utajiridhishaUna makaratasi muhimu yote?? Isijekuwa ni mali za wale waliopotezwa
Asante Mkuu,nakuja pmardhi ni mali kiongozi .nipo radhi NIKUKOPESHE PESA UNAYOHITAJI LAKINI USIUZE ARDHI YAKO.
Njoo Pm kama unahitaji kutatuta tatizo la kifedha
NB:KAMA UPO SERIOUSLY
Nimekupm mkuuAsante Mkuu,nakuja pm
Sawa sawa ngoja nichekiNimekupm mkuu
njoo Pm tupeane manambaYote yapo ,hakuna tatizo lolote kabisa,utajiridhisha
Sawa mkuunjoo Pm tupeane manamba
Picha basi chief..Sawa mkuu
Sawa nitaweka ,karibu twende ujioneePicha basi chief..
Asante kwa ushauri wako Mkuu,nitafanyia kaziUshauri wangu kwako
Uza nusu kwa Bei hiyo
usijekujuta Mkuu
Mola akufanyie wepesi popote ulipo