zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
- Thread starter
- #61
Bado inaendelea mkuuVipi Mkuu biashara bado inaendelea???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado inaendelea mkuuVipi Mkuu biashara bado inaendelea???
Ngoja nisikujibu kituToo good to be true
Wakuu uvamizi wa maeneo ya watu ni critical sana siku hizi
Msikubali hata kununua kama mtu mwenye shida anavyodai basi aweze kuwashirikisha hata ndugu zake si chini ya watano uhakiki kweli ana dhamana ya kuuza nk
Msije kuta ni la urithi wapo weng ye anazunguks wenzie
Inshort jipeni kila possible angles mjirithishe
Kwa kukisia ni umbali gani toka barabara kuu ya kwenda Mtwara na hapo lilipo hilo shamba?Bado inaendelea mkuu
Na mimi naomba unikopeshe mkuu. Nina shida sana imenikalia pabayaardhi ni mali kiongozi .nipo radhi NIKUKOPESHE PESA UNAYOHITAJI LAKINI USIUZE ARDHI YAKO.
Njoo Pm kama unahitaji kutatuta tatizo la kifedha
NB:KAMA UPO SERIOUSLY
mkuu mbona PM IMEKATA?Hati miliki ya kijiji ambayo ndo ya serikali ya kijiji husika
PM IMEKATAAsante Mkuu,nakuja pm
Hayo maeneo mashamba ni bei rahisi, kuna mdau alikua akiuza Heka 50 kwa 3.5mil total.Inaonekana haujui bei za Mashamba kulingana na sehemu husika,mbona mengi tu pengine wanauza eka moja laki mbili na nusu mpaka laki mbili ,sijui unachobishana ni nini haswa ,ebu uliza uliza kama una watu kule alafu ulete mrejesho
Asante kwa ushauriKakope hela 4millions...weka sehemu ya hilo shamba kama security... Utalipa taratibu..kuliko uliuze kwa bei ya hasara namna hiyo
Ni ushauri tu
Pm yako naona imefugwa sijuiPM IMEKATA
au kale kamuchezo kameanza tena mkuu?NAUZA SHAMBA LANGU LA EKARI 20 LIPO BUNGU KIBITI NALIUZA KWA BEI YA CHINI KABISA KWANI NINA SHIDA. BEI NI SHILLING MILIONI NNE TU CASH. KATIKA SHAMBA KUNA NANASI KATKA EKARI TANO NA VIBANDA VYA KUKU VIWILI...BANDA LA MFANYAKAZI CHUMBA NA SEBULE....ENEO LILILOBAKI LIPO WAZI HUWA NALIMA UFUTA NA MUHOGO.
SHAMBA LIPO BUNGU ,KIBITI PWANI. NAKUBALI MALIPO HATA KWA AWAMU MBILI.
KWA MUITAJI TUWASILIANE PM
Mkuu toa mawasiliano yako, kesho jumapili nikutafute.NAUZA SHAMBA LANGU LA EKARI 20 LIPO BUNGU KIBITI NALIUZA KWA BEI YA CHINI KABISA KWANI NINA SHIDA. BEI NI SHILLING MILIONI NNE TU CASH. KATIKA SHAMBA KUNA NANASI KATKA EKARI TANO NA VIBANDA VYA KUKU VIWILI...BANDA LA MFANYAKAZI CHUMBA NA SEBULE....ENEO LILILOBAKI LIPO WAZI HUWA NALIMA UFUTA NA MUHOGO.
SHAMBA LIPO BUNGU ,KIBITI PWANI. NAKUBALI MALIPO HATA KWA AWAMU MBILI.
KWA MUITAJI TUWASILIANE PM
Ana dhani ni kariakoo.Inaonekana haujui bei za Mashamba kulingana na sehemu husika,mbona mengi tu pengine wanauza eka moja laki mbili na nusu mpaka laki mbili ,sijui unachobishana ni nini haswa ,ebu uliza uliza kama una watu kule alafu ulete mrejesho