Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula 80...Nimeshuka Hadi elfu 90 jamani. Karibuni inbox mniondoe kwenye dharura.[emoji17]
Njoo inbox tumalize bosiKula 80...
MbagalaDar sehem gan exactly
Mmmh,,, nashukuru mkuu ila huku hapana. Acha shida zinikung'ute😂Ikifika 50 njoo pm tumalize
😔😔😔 Mungu akusamehe TU. Hapa umepotoka.!Siyo ya wizi hiyo?, nyaraka za mkopo unazo? Wakopeshaji huwa wanachukua kwa kila mwezi mpaka pesa ikamilike. Wewe unataka kuwalipa kabla ya muda wa marejesho kufika?
Narudia tena swali, "siyo ya wizi hiyo?, nyaraka za mkopo unazo?"😔😔😔 Mungu akusamehe TU. Hapa umepotoka.!
Asante sana nduguPole sana mkuu...