Plot4Sale Nauza viwanja maeneo mbalimbali Dar

Kwa Mahitaji ya Viwanja vilivyopo Kimara Korogwe barabara ya zege Kwenda Kilungule na Kwa Mkua
Wasiliana nami 0675 065906
Nina viwanja vingi vya ukubwa kuanzia sqm 400,500,700,800,1000 na kuendelea.Gharama yake ni nafuu sana.Piga simu utapewa maelekezo yote.Wote mnakaribishwa
 

Attachments

  • 1718354590916.jpg
    338 KB · Views: 6
  • 1718354565359.jpg
    318.2 KB · Views: 5
  • 1718354562368.jpg
    311.7 KB · Views: 5
Kwa Mahitaji ya Viwanja vilivyopo Kimara Korogwe barabara ya zege kwenda Kilungule na Kwa Mkua
Wasiliana nami 0675 065906.

Nina viwanja vingi vya ukubwa kuanzia sqm 400,500,700,800,1000 na kuendelea.Gharama yake ni nafuu sana. Piga simu utapewa maelekezo yote. Wote mnakaribishwa
 
Navyojua ile barabara kuna mabonde balaa kulia na kushoto ...hakuna tambarare.
Vinaanzia bei gani.
 


Wizara ya Ardhi haitambui kabisa hivyo vipimo vidogo mno, hivi sheria ya Ardhi ya ukomo wa viwanja vya makazi unajua kweli? Utakamatwa muda si mrefu, huwezi mpimia mtu 400 sqm hicho ni kibanda cha kuku?
 
Wizara ya Ardhi haitambui kabisa hivyo vipimo vidogo mno, hivi sheria ya Ardhi ya ukomo wa viwanja vya makazi unajua kweli? Utakamatwa muda si mrefu, huwezi mpimia mtu 400 sqm hicho ni kibanda cha kuku?
Watu wanauziwa viwanja kwa kipimo cha futi huko chanika wasikatwe sembuse sisi tunakupimia kwa mita kuanzia 20x20.Mkuu wewe ni mgeni nini hapa mjini?
 
Kiwanja kinauzwa kibamba hospitali

Kina pagale la chumba kimoja na sebule.

Umbali km 1.5 mpaka site

Kina ukubwa wa 946 sqm (43*22) mita

Bei ni tsh 15m

Mawasiliano:

0675 065906

 
Kiwanja kinauzwa Kimara Mwisho
Njia ya kwenda king'ong'o
Kina SQM 1900[ 38 x 50 ]
Kipo sehemu nzuri sana
Bei Mln 70 Maongezi yapo
0675 065906
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…