Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kuweza au kuto weza!! Changamoto na usalama wa milioni 25 tu.Mkuu ni kileta viwanja vyenye hati ya wizara utaweza kununua?
100m kwa nusu heka, sehemu ni kimara temboni mmh madalali mna kaziKiwanja kipo Kimara Temboni
barabara ya kwenda Matosa
Ukubwa ni square meter 1,200
Bei ni sh. 100,000,000/= (Milioni mia moja) Maongezi yapo kwa mteja serious
Kipo jirani na Kanisa katoliki st.Monica
Kiwanja kina Hati ya Wizara(TITTLE DEED)
Kipo sehemu nzuri sio bondeni
Kinapakana na barabara ya mtaa
0675 065906.
Ila isiwe 100m tena tembonii lohMkuu Mkiletewa vya bei mchee hamnunui sasa tufanyeje wacha tuwaletee vya bei iliyochangamka
Hiki 150m anachukua?kipo cha mbweni sqrmtr 1300 mil 120
Masite dk 5 toka barabaarani
cont 0713458722
Next time ukija na cha 200M nitagMkuu Mkiletewa vya bei mchee hamnunui sasa tufanyeje wacha tuwaletee vya bei iliyochangamka