Plot4Sale Nauza viwanja na nyumba maeneo mbalimbali Dar

Plot4Sale Nauza viwanja na nyumba maeneo mbalimbali Dar

Ingekuwa jangwani ungewauzia serikali kwenye mradi wao wa mto msimbazi tatizo mbali
 
Eneo: 600 sqm

Ni hatua za kutembea 20 kutoka barabara kubwa inayotoka Magomeni kuelekea Sinza.

Nyumba imejengwa kwa chumba na sebule 4 zikiwa na block mbili zinazotazamana.

Chumba na sebule mbili zita-share choo na bafu upande wao, na block ingine inayotazamana nayo watafanya vivyo hivyo.

Siyo bondeni kwamba kunajaa maji, kumezungukwa na nyumba za kisasa mbele yake (ipo video nashindwa kui-upload hapa).

Pana nyaraka zote halali, na hakuna mgogoro wowote.

Bei: TZS. 29m

Call: 0717 650800
View attachment 2432188View attachment 2432190View attachment 2432195View attachment 2432196
Tukumbushane tu 2017 Ford Ranger TDCi XLT/AT Double cabin ushuru ni 31m TZS
 
Back
Top Bottom