Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hizi ni zile jenga uza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo inaonekana Kuna mtu kakaa kdg siyo Kama za Chamazi na ChanikaHizi ni zile jenga uza?
Sio chamazi hukuHizi ni zile jenga uza?
M 75Shilingi ngapi?
Offer 68Nyumba ipo Kibada Kigamboni
Ni ya pili kutoka barabara ya lami
Ina vyumba vinne viwili masters
Sitting room dining room jiko na public
Bei milioni 75 kiwanja kina sqm 640
Kimeshapimwa bado kutolewa hati tu
Nyumba ipo kilometers 5 kutoka darajani
Kilometers 10 kutoka kivukoni
0713672719
0787672719View attachment 2337588View attachment 2337589View attachment 2337590View attachment 2337591
choo futi 4 au 5 kwenda chini
Hazifahi kabisa, zinajengwa wiki mbili tu kwa substandard na zina muonekano wa kuvutia.
KaribuKiwanja safi kabisa ,mpaka raha
Kabisa maana tuna wahuni humu kweli kweliKwanza nicheke