INAUZWA Nauza Viwanja, nyumba na Mashamba Kigamboni Dar es Salaam

Mkubwa tangazo limeeleweka ila umesema mmekata viwanja...means havija pimwa? (Surveyed plots)
Silaha kubwa sahv ya kuuza viwanja Ni uhakika kuwa viwanja vimepimwa na kusaidia wanunuzi ku process Hati kutoka wizarani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha hayapo sawa ndivyo muumba alivyo yaweka wapo wenye uwezo wa kununua kitu kilicho pimwa kwa pesa kubwa na wapo wanao dunduliza mpaka kuipata hiyo milioni mbili sio kazi rahisi kikubwa uhalali wa hicho kinachouzwa
Na uwezo wa mtu akitaka kilicho pimwa atapata hivyo hapa hakuna anaeuza kiwanja kisicho na uhakika
 
Ukiamua kununua kiwanja Chanika jipange haswa

Matapeli wamejazana humo

Ni tahadhari tu
Haiusihani na mtoa mada
 
BOMA LINAUZWA CHANIKA MWISHO MJINI MANISPAA YA ILALA DAR ES SALAAM
9713672719[emoji390]0787672719
KWA TSHG MILLIONI 8.5

UKUBWA WA ENEO SQM 400

LINA VYUMBA VITATU 3 VYA KULALA CHUMBA KIMOJA KINA MASTER BEDROOM PUBLIC TOILET JIKO STOO NA SITTING ROOM

UMBALI TOKA STENDI MPYA DK 3 TU
 
Boma lipo mjimwema kibugumo
Lina vyumba viwili sitting room na jiko Bei milioni 9 plot Ina ukubwa wa mita 12×20 huduma zote muhimu Zipo umeme unashushia tu ipo kilometers 9 toka kivukoni
0787672719
0713672719

 
Plot namba (172/173/174/175)jumla ya Sqmt (3267) MWONGOZO visikini road
Kigamboni Manispaa
VIWANJA 4 VINAUZWA BEI MILIONI 50 TU KWA PAMOJA
CALL 0713672719[emoji390]0787672719

VIWANJA VINA HATI MILIKI MOJA

 
Kiwanja kipo kibada kigamboni kina tazama barabara ya lami iyendayo kongowe ndani Kuna nyumba ya vyumba vitano na frem ya biashara Bei milioni 120 tu plot Ina sqm 667
Ina hati miliki ya wizara ardhi

0713672719
0787672719
 
Nyumba ipo kibada kigamboni Ina vyumba vinne viwili masters sitting room dining room jiko na public toilet.

Plot Ina ukubwa wa sqm 647, imeshafanyiwa upimaji hati inatoka moja kwa moja kwa jina lako Bei milioni 75

0713672719

0787672719
 
Hapo si corner Stone kuelekea chekechea au nimeona vibaya
 
Sema nyumba inauzwa na sio kiwanja chenye nyumba ndani yake kinauzwa! Dah!
 
Beach ipo Buyuni Kigamboni
Ina ukubwa wa heka mbili
Ina hati miliki ya wizara
Bei milioni 480 ofa Inasikilizwa
Ipo kilometers 48 toka Kivukoni
0787672719
0713672719

 

Attachments

  • IMG_20221012_190200_215.jpg
    46.4 KB · Views: 11
Ipo Gezaulole Kigamboni Ina ukubwa wa heka moja ni ya Tatu kutoka baharini. Bei milioni 90 imepimwa
Tayari njoo ukague

0787672719
0713672719
 
Ipo Mjimwema mtaa Kibugumo
Ina vyumba vitatu kimoja master
Sitting room jiko na public toilet
Bei milioni 37 mzungumzo kidogo
Ipo kilometers 9 toka kivukoni
Mita 600 toka main road huduma zote muhimu Zipo nicheki
0787672719
0713672719
 

Attachments

  • IMG-20221017-WA0249.jpg
    130.5 KB · Views: 13
  • FB_IMG_1666017420567.jpg
    41.7 KB · Views: 15
nyumba ipo mikwambe kigamboni
Ina vyumba vitatu kimoja master sitting room dining room jiko na public toilet Bei milioni 120 plot
Ina ukubwa wa sqm 700 ipo mita
300 toka barabara kuu ya lami
Kilometers 8 toka darajani
0787672719
0713672719
 
VIWANJA VIPYA TUMEKATA CHANIKA NAMANGA MJINI MANISPAA YA ILALA DAR ES SALAAM
0787672719[emoji390]0767672719

KWA TSHG MILLIONI 2,300,000/= MIL 2.3

UKUBWA WA ENEO SQM 400

HUDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZINAPATIKANA JIRANI SANA NJOO UKAGUE TUMALIZE BIASHARA

VIPO TAMBALALE KABISA SEHEMU SAFI KIMAKAZI NA KIBIASHARA

KWA MHUTAJI SILIASI ANIPIGIE SIMU KUFIKA KWENYE SITE TUMALIZE BIASHARA

WOTE MNAKARIBISHWA SANA BADO VIPO KUWAHI KWAKO NDIYO KUPATA KWAKO KIWANJA BORA KWA MAKAZI BORA.View attachment 2424742
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…