Navutiwa na utendaji wa Tabia Mwita, Waziri wa Michezo Zanzibar

Navutiwa na utendaji wa Tabia Mwita, Waziri wa Michezo Zanzibar

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
Nimekuwa nikuvutiwa na utendaji kazi wa Tabia Mwita ambaye ni Waziri wa Michezo katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.

Nilikuwa sijui kama majina ya bara siku hizi yamejaa huko visiwani?
4DD66027-5CA0-44C2-B0F9-9B1D5E3E95FE.jpeg
 
Zanzibar haina mwenyewe kule kuna waarabu, wahindi, wasukuma, wakurya, wanyamwezi, washiraz na wengine wengi
 
Asilimia kubwa ya wazenji ni wanyamwezi na wamanyema walio lowea huko enzi za utumwa.
 
Back
Top Bottom