Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Punguza kuangalia porn mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe mbinu baharia unafanyaje kuwapata kwa umri uliokua nao sababu wengi wao hua na watoto wa rika lako
Watu wazima ni watamu sana jamani, ukipigabao linatoka na maini loooteeeeMambo vipi wadau
Mimi kijana wa makamo 23 years
Nina aleji ya kupenda wanawake watu wazima hususani walio single kuanzia 40 na kuendelea
Wengi wao huwa wananikata haja zangu haraka nanikishafanya nao mapenzi basi nalizika tofauti na vibinti vya umri wangu kuna mmoja nilimpenda hadi nikawa nisipomuona kwa muda nahisi kuumwa tulipanga vizuri nimtambulishe kwetu tufunge ndoa ila akanigomea aise nilikesha nalia hadi siku alipokuja kuniambia hawezi kuwa na Mimi kwani anaogopa maneno ya watu basis bwana nilienda nae kinyonge hivyo hivyo hadi aliponiacha rasmi 2020 kwa madai kuwa anataka alee wanae iwapo bado nampenda sana.
Wanawake wa umri wangu huwa sina hamu nao kabisa
Anajisifu ujingaOk baada ya maelezo yako unataka tukushauri nini?tukupigie makofi au tusikitike?
Hakuna ubaya hapo mkuu na ulichokiongea ni ukweli mtupu,aisee ukishakula hao milf hautamani tena hawa wasichana .Mambo vipi wadau
Mimi kijana wa makamo 23 years
Nina aleji ya kupenda wanawake watu wazima hususani walio single kuanzia 40 na kuendelea
Wengi wao huwa wananikata haja zangu haraka nanikishafanya nao mapenzi basi nalizika tofauti na vibinti vya umri wangu kuna mmoja nilimpenda hadi nikawa nisipomuona kwa muda nahisi kuumwa tulipanga vizuri nimtambulishe kwetu tufunge ndoa ila akanigomea aise nilikesha nalia hadi siku alipokuja kuniambia hawezi kuwa na Mimi kwani anaogopa maneno ya watu basis bwana nilienda nae kinyonge hivyo hivyo hadi aliponiacha rasmi 2020 kwa madai kuwa anataka alee wanae iwapo bado nampenda sana.
Wanawake wa umri wangu huwa sina hamu nao kabisa
Kabisa mkuuHakuna ubaya hapo mkuu na ulichokiongea ni ukweli mtupu,aisee ukishakula hao milf hautamani tena hawa wasichana .
Nadhani ni kwa sababu labda ni wasafi na wanajua nini tunataka ukijumlisha na experience jumlisha na nyama zile .
Sio ww tu nahisi na wazee umri 70 na vimvii hivi yaani nahisi now ths is the husband
Wewe hilo ni tatizo la kisaikolojia, wahi kwa Mtaalamu upesi Vinginevyo utapotea.. Inaonekana umri wa wako wa maji ya moto ulianza michezo hiyo na waliyokuzidi umriMambo vipi wadau
Mimi kijana wa makamo 23 years
Nina aleji ya kupenda wanawake watu wazima hususani walio single kuanzia 40 na kuendelea
Wengi wao huwa wananikata haja zangu haraka nanikishafanya nao mapenzi basi nalizika tofauti na vibinti vya umri wangu kuna mmoja nilimpenda hadi nikawa nisipomuona kwa muda nahisi kuumwa tulipanga vizuri nimtambulishe kwetu tufunge ndoa ila akanigomea aise nilikesha nalia hadi siku alipokuja kuniambia hawezi kuwa na Mimi kwani anaogopa maneno ya watu basis bwana nilienda nae kinyonge hivyo hivyo hadi aliponiacha rasmi 2020 kwa madai kuwa anataka alee wanae iwapo bado nampenda sana.
Wanawake wa umri wangu huwa sina hamu nao kabisa
Mjinga Mimi acha uzinzi hahahahhaah et wanakuwaga na matako lain[emoji23][emoji23][emoji23]wanakuwaga na makalio lainiii