Navyoona si Bashiru si Polepole hawana nguvu tena, wanagugumia tu

Navyoona si Bashiru si Polepole hawana nguvu tena, wanagugumia tu

Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Kosa lake kubwa kuwaumbua mafisadi waliokuwa CCM. Kama si credit
 
Usifurahi juu yangu, ewe adui yangu.. Niangukapo mimi, nitasimama tena

Alisikika muimbaji wa nyimbo za injili akiimba
Potelea mbali
Hata wao tulipoanguka walifurahi, enzi zile Bashiru anapiga piga kifua anasema Chama Tawala kitatumia dola kubaki madarakani, alaf Serikali itakutumia mabilioni kuendesha uchaguzi ambao mshindi anajulikana

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wagombea wa vyama pinzani zaidi 98% hawakujua namna ya kujaza fomu hivyo wakawa disqualified.

Ila nyie Mungu amejua kutufurahisha, babaaa umejua kunifurahishaaaa babaaaa.... alisikika muimbaji wa nyimbo za injili[emoji1787][emoji1787]
 
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Aliyeko juu mngojee chini.
 
Ukweli hawa jamaa wamekuwa kama Maksai au Ng'ombe waliohasiwa. Ngombe akihasiwa bwana huwezi kumkuta kule mbele wala pembeni ya kundi anakuwa tu katikati anachanganyika na majike na ndama. Hatari tupu!

Dr. Bashiru kwa sasa hata hiyo title ya kuanza na Udaktari hana hamu nayo. Sidhani kama anaweza kuchangia hoja bungeni - kama mpole na anatia huruma kwa kweli. Yaani sijui Mama aliadivaisiwa na nani amfanye hivi Bashiru.

Enzi zile umseme Mwendazake halafu ukutane na maelekezo ya Bashiru kukushughulikia - mbona ilikwa balaaa.

Polepole hata marafiki zake - makundi ya vijana yakawa ayanamwogopa - yaani.

Hawa wote anangalau wangekuwa waliwekwa kwenye nafasi hizo na wananchi wangeweza kupumua - sasa wapo bungeni kwa huruma ya Rais - waseme nini sasa - koro.. zimezamia ndani hadi wanatia huruma.

Mwendazake anasemwa weeeeeeeeeeee hawa wapo kimya tu - wanagugumia kichinichini. Dkt. Bashiru alivyonyanyasa akina Membe, Kinana, Makamba n.k sijui kwa sasa wanajionanaje?

hivi Bashiru avuliwe ubunge na hizo Ml 11 ambazo anazikamata kwa mwezi now arudishwe kwenye ml 3 yake ya UD hivi atakuwa katika hali gani? Kumbuka huyu hakujua hata kufanya biashara! Ndiyo maana tunawadharau sana wasomi kwa sasa.

Pyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!
Power za hao jamaa zilitoka from above, from the powers that be.

Walikuwa hawana mass support toka CCM wala wananchi wa kawaida.
Power iliyowateua haipo, hivyo relevance yao haipo.
Hawatetewi na CCM wala wananchi
Hao ni mayatima wa kisiasa.
 
Huu uzi umeuandika ukiwa uwanja wa fisi na kombe lako la gongo mkononi, au ulikuwa msalani unakata gogo huku unaandika yanayokujia kichwani kwako? Maana hakuna anaeelewa ulichoandika hapa
Bashiru vp tulia... Mbona Mimi nimeuelewa uzi
 
Kutesa kwa zamu. Wamekula maisha sana Hawa wacha wapumzike na wengine waingie. Hata akina Makamba walikula maisha enzi ya mkwere, akina mramba na Yona walikula maisha kwa uncle Ben na kina warioba na Bujiku walikula maisha sana enzi ya mchonga.
"IT IS OUR TIME TO EAT" but January and Nape already ate during Vasco Dagama 's time!! They want to eat again?
 
Dr. Bashiru uzuri wake ni kwamba ni mchapa kazi sana, ana kipaji cha juu sana cha organisation, pia hana umri mkubwa!
CV yake imepanda sana na anayo elimu. Ukiangalia hayo pekee, na jinsi alivyo bakishwa kwenye system, tegemea kuwa Dr Bashiru bado anahitajika sana na ni akiba - watawala wanayo tegemea.
Mfano: Dr. Bashiru hapendwi haswa na wapinzani kwa sababu alisaidia CCM kushinda viti vyote vya ubunge na uraisi - wanavyo dai! Je! Chaguzi zimeisha? Je CCM haitaki kushinda tena? Je! Dr. Bashiru hatahusishwa kamwe kufanikisha hili tena? Mpunguze mihemko yenu kusudi msije kukumbana na maneno haya - "msiye mpenda kaja"!
Pumba tupu yeye alikiri ukiwa na dola lazima ushinde na ndicho kilicho fanyika
Sasa asubiri kusugua benchi kazi ya wizi wa kura amesha ifanyia ccm yeye sasa ni toilet paper
 
Pumba tupu yeye alikiri ukiwa na dola lazima ushinde na ndicho kilicho fanyika
Sasa asubiri kusugua benchi kazi ya wizi wa kura amesha ifanyia ccm yeye sasa ni toilet paper
Ameharibu sana utamaduni wa nchi yetu - yaani utawala wa awamu ya tano hamna ubishi ni UTAWALA ULIOJIPACHIKA MADARAKANI. Ndiyo maana ikabidi hata Mwendazake atolewe kafara! Hovyo kabisa!
 
kati ya vitu ambavyo mama amenifurahisha ni hivi. amewanyoosha kwelikweli na kiburi chote hawasikiki. walipandisha mabega sana.
 
Huu uzi umeuandika ukiwa uwanja wa fisi na kombe lako la gongo mkononi, au ulikuwa msalani unakata gogo huku unaandika yanayokujia kichwani kwako? Maana hakuna anaeelewa ulichoandika hapa
Mimi nimeelewa, kama hujaelewa jua uzi haukulengwa kwa wenye upeo kama wako au uzi siyo size yako so kaa kwa kutulia tuli.
 
Back
Top Bottom